Hakika umeshawahi kuwaona walimbwende hawa wakiwa wamependeza, watanashati, warembo na kutembea mwendo wa madaha ndani ya ndege ama treni. Achana na hawa wa mabasi wapakua mzigo na walegeza sauti wa mabasi unaowajua. Namejaribu kuwaza ushindani wao, kila siku totoz kali batch zinatoka za kutosha pale NIT na kwingineko.
Swali: Wakishachoka/kupauka/kukongoroka huwa wanafanya kazi gani?
Wanakuja kuwa.wake.za.watu matajiri. Wajasiriamali kama jesca kitambaa white ambaye nae kuvunjika kwa ndoa.yale.na.mtoto wa.dr.sinare kulimpa settlement ya maana akaizingusha kwenye biashara akatoboa.
Swali la nyongeza, ndio ni wazuri na wanavutia kimapenzi/kimahaba, je wao huwa hawatamani kufanya mapenzi kwa mujibu wa homoni zao kiasili? Huwa wanafanya na wanaume wenye hadhi gani? Wanaoleka na kuzaa watoto?