Wewe hujui halafu unataka kujifanya mjanja!!
Hapa umetoa ufafanuzi au umeuliza ili ueleweshwe!??
Sasa unauliza kama mimi nimesoma sheria, shida yako wewe ni kujua taaluma yangu au usahihi wa majibu yangu!??
Hakuna sheria yeyote inayoweka masharti ya viwango vya elimu vya mtetezi(wakili) mahakamani.
Nenda vijijini kwenye mahakama za mwanzo halafu uliza mtetezi wa mtuhumiwa ana elimu gani.
Mimi mzee wangu hata darasa la saba hakufika( aliishia la nne la zamani), lakini watu wakipata kesi walikuwa wanamfuata ili akawatetee mahakamani.
Sawa bas ngoja nikufundishe usiendelee kupotosha watu.
The Advocates Act cap. 341 as Amended [2002] inasema hivi.
Kwanza ili uwe Advocate
Section 8(1) A person may apply to the Chief Justice to be adnitted as an advocate
(a) If he holds one of the following qualifications, that is to say
(i) Holder of Degree in Law granted after examination by the University of East Africa or the University of Dar es Salaam or other Institution as my be recognised.
(ii) If he's a legal practitioner and thereby has a right of audience before any court having unlimited jurusdiction in civil & criminal matter in any commonwealth country.
(iii) If he's a solicitor of the supreme court in England, Northen Ireland or the Republic of Ireland.
Mjuni Lwambo tuambie HAPA MTU WA DARASA LA SABA ANAFIT WAP..???
Haya tuje kwenye katazo
Section 41.
(1) No "unqualified" person shall act as an advocate, or agent for suitors or as such issue out any summons or other process or commence or carry on or defend any action, suit or other proceeding in the name of any other person or in his own name in any court of civil or criminal jurisdiction or act as an advocate in any cause or matter, civil or criminal.
Section 42. Imeweka fine ya shilling million moja au kifungo cha miezi 12 kwa mtu atakaye kiuka section 41.
Halafu kwa taarifa yako tu Advocate hasimami Primary Court kisheria mashauri yote ya Mahakama ya mwanzo yanaamuliwa na Sheria inaitwa Magistrates Courts Act 1981 (R.E 2002) na sheria nyngne Shirikishi ambako legal complication ndogo na ndio maana zaman walikua wanachukua mahakimu wenye certificate (Sasa sheria inabadikishwa ku accomodate maadvocate na wameshaanza kuajiri mahakimu wenye shahada ya kwanza.
Mimi sihitaji kwenda kuuliza watu, am among those wa kuulizwa nimekupa legal facts usiongelee mambo ya sheria ki ubishani wa vijiweni njoo hapa na facts hii ni sayar ya wasomi sasa kama ulidhani najifanya mjanja am sorry mimi sipo huko mi nimeona nigusie pale ulipowapotosha watu. Njoo hapa na vifungu vya sheria sio maneno matupu ili watu wapate elimu na sio ubishi huo hauelimishi.