Swali: Kuna Mawakili/Wanasheria ambao sio Wasomi?

Swali: Kuna Mawakili/Wanasheria ambao sio Wasomi?

Kwa mfano ipi sifa ambayo ni ya kijinga kwa wanasheria?

bila mfano sababu wana nafasi kubwa ktk HUKUMU kujiita 'mungu' aishie hapahapa duniani


Nature,mafilosofa walioeka misingi ya discipline zote,kizazi cha sasa na utashi wangu haujawahi kukaririwa popote kwamba sheria ipo juu ya profession nyinginezo
 
bila mfano sababu wana nafasi kubwa ktk HUKUMU kujiita 'mungu' aishie hapahapa duniani


Nature,mafilosofa walioeka misingi ya discipline zote,kizazi cha sasa na utashi wangu haujawahi kukaririwa popote kwamba sheria ipo juu ya profession nyinginezo

Unadhani wanaotoa HUKUMU ni wanasheria?
 
Iko hivi, kuna tofauti kati ya wakili na mwanasheria.
Wakili anaweza akawa mwanasheria na vile vile mwanasheria anaweza kuwa wakili,
Mwanasheria anaweza asiwe wakili na inawezekana kabisa wakili asiwe mwanasheria.

Kiusahihi, mtu anaweza kuitwa wakili msomi na ni makosa ya kiuelewa kusema "mwanasheria msomi".

Wakili maana yake mtetezi, hata mtu wa darasa la saba anaruhusiwa kwenda kumtetea mtu mahakamani na anaweza kitwa wakili, ila sio wakili msomi, Mtu aliyesomea sheria na akaenda kumtetea mtu mahakamani ataitwa wakili, wakili msomi.

I hope I have made myself clear.

at least we kidogo nimekuelewa. Lakini what ever thd case,sababu ya kujiita hivyo mi naona kama ni majivuno tu! Mbona doctors hawajiiti dakta msomi,mwalimu hajiiti mwalimu msomi na kuna madakta na walimu wa mitaani?
 
Iko hivi, kuna tofauti kati ya wakili na mwanasheria.
Wakili anaweza akawa mwanasheria na vile vile mwanasheria anaweza kuwa wakili,
Mwanasheria anaweza asiwe wakili na inawezekana kabisa wakili asiwe mwanasheria.

Kiusahihi, mtu anaweza kuitwa wakili msomi na ni makosa ya kiuelewa kusema "mwanasheria msomi".

Wakili maana yake mtetezi, hata mtu wa darasa la saba anaruhusiwa kwenda kumtetea mtu mahakamani na anaweza kitwa wakili, ila sio wakili msomi, Mtu aliyesomea sheria na akaenda kumtetea mtu mahakamani ataitwa wakili, wakili msomi.

I hope I have made myself clear.

Mkuu Nimekuelewa 100%, Asante Sana Kwa Maelezo Yako
 
Kwani hapa tunapishana? au upo kwa ajili ya kubishana mwanasheria msomi!

Naona umekazana kubisha wakati niliomba tu unijulishe hiyo maana... anyway, kitu gani kimekufanya uniite mwanasheria msomi?
 
at least we kidogo nimekuelewa. Lakini what ever thd case,sababu ya kujiita hivyo mi naona kama ni majivuno tu! Mbona doctors hawajiiti dakta msomi,mwalimu hajiiti mwalimu msomi na kuna madakta na walimu wa mitaani?

Na Hilo Pia Litazamwe!
 
Unadhani wanaotoa HUKUMU ni wanasheria?

Sijakuelewa unaposema 'nadhani ndio wanaotoa' wakati comment yangu uliyo quote nimesema 'wana nafasi kubwa ktk'

Werevu wa mwanasheria ni ku'twist alichosema mpinzani wako?
 
Sijakuelewa unaposema 'nadhani ndio wanaotoa' wakati comment yangu uliyo quote nimesema 'wana nafasi kubwa ktk'

Werevu wa mwanasheria ni ku'twist alichosema mpinzani wako?

Kuna kitu unachanganya ama mimi ninachanganya ila twaweza saidiana.
Sifa za kijinga, umetumia mfano halisi (according to you) kwenye hukumu kwa kuwa na nafasi kubwa pengine kwa kujiona kama miungu ya pili. (Thats not a big deal).
Swali langu lilikua, hao wanaojiona miungu ya pili ama kuwa na nafasi kubwa kama unavyosema, kwa wewe unavyojua, hao ni wanasheria?
 
If you don't mind, can you specifically tell us what is or what are the differences between (being) educated and learned as they relate to the legal profession vis-à-vis other degreed professions?
mkuu mbona unataka tuchoshane hapa wakati by looking your writing your among learned brother or law in making brother...na nakujua so acha izo nyani ngabu
 
Madaktari kuna wanaoitwa wataalam, wengine sio wataalam?
Wote wasiona wanasheria ni leymans, na hilo halijawahi kukuuma mtoa mada? Ya ngoswe mwachie ngoswe. If u like it crown it, if u dont........

Leymans..???
 
Iko hivi, kuna tofauti kati ya wakili na mwanasheria.
Wakili anaweza akawa mwanasheria na vile vile mwanasheria anaweza kuwa wakili,
Mwanasheria anaweza asiwe wakili na inawezekana kabisa wakili asiwe mwanasheria.

Kiusahihi, mtu anaweza kuitwa wakili msomi na ni makosa ya kiuelewa kusema "mwanasheria msomi".

Wakili maana yake mtetezi, hata mtu wa darasa la saba anaruhusiwa kwenda kumtetea mtu mahakamani na anaweza kitwa wakili, ila sio wakili msomi, Mtu aliyesomea sheria na akaenda kumtetea mtu mahakamani ataitwa wakili, wakili msomi.

I hope I have made myself clear.

Umepotosha watu vibaya sana.
Note: Si kila mtu humu ni layman wa Sheria.
 
Kusema nimepotosha watu bila kusema nimepotoshaje, haisaidii.
Tuambie usahihi ni upi.
My point was in Professional Ethics.
1. Kwanza ww umesoma Sheria..??
2. Pili is it true Mtu wa darasa la saba anaweza kwenda kumtetea mtu mahakamani..??
 
My point was in Professional Ethics.
1. Kwanza ww umesoma Sheria..??
2. Pili is it true Mtu wa darasa la saba anaweza kwenda kumtetea mtu mahakamani..??

thnx mkuu, tunahitaji majibu ya haya maswali pia!
 
Back
Top Bottom