Asante mkuu nimekuelewa tukikopa 300 mln unadhani kwa uwelewa wako nini chaweza tokea ? ok naomba ushauri wako ulio bora tafadhali, kwani lengo ni kuongeza mapato ya kampuni..
Nashukuru sana mkuu kwa ushauri wako, naomba ufafanue zaidi kdg ku-justfy kuwa loan pekee ndio expansion means ukizingatia mazingira hayo ya hiyo INFLATION, RETURN 18% na COST OF CAPITAL 25%, The company Objective is to raise income not only by rate with efficiency(hata kama rate haitabadilika basi mapato by amount yapande)
ILI ASUBUHI NIGONGE MLANGONI KWAKO MKUU
Exactly, roi ya 18% katika mazingira yenye inflation ya 20% na riba ya 25% inatisha sana.On normal basis kama ataendelea kupata hiyo 18% ROI under raisind inflation halafu debt servicing interest ni 25 % kama àtakopa pesa nyingi kuliko mtaji wao halisi itakula kwao since return zao zote zitatumika kulipa madeni na riba
watu waameshusha vitu vya darasani hapa hadi nimeogopa! ila mimi naona hakuna aliyetoa msaada kwa hao jamaa, practically hebu jamaa aproduce business plan na financial statements, that is where nondo mlizotoa humu zianze kufanya kazi, otherwise hizo ni facts tu za finance and accounting pasipo kuhusianisha na biashara wanayo fanya!
watu waameshusha vitu vya darasani hapa hadi nimeogopa! ila mimi naona hakuna aliyetoa msaada kwa hao jamaa, practically hebu jamaa aproduce business plan na financial statements, that is where nondo mlizotoa humu zianze kufanya kazi, otherwise hizo ni facts tu za finance and accounting pasipo kuhusianisha na biashara wanayo fanya!