king kan
JF-Expert Member
- May 6, 2011
- 1,639
- 2,066
Asante mkuu nimekuelewa tukikopa 300 mln unadhani kwa uwelewa wako nini chaweza tokea ? ok naomba ushauri wako ulio bora tafadhali, kwani lengo ni kuongeza mapato ya kampuni..
hicho kiasi mwaweza kukopa lakin inategemea pia na biashara unayofanya isiwe biashara ambayo ina flactuate sana kwani învestment risk nayo ni muhimu usije kuend in bankruptcy