Silicon Valley
JF-Expert Member
- Mar 6, 2012
- 1,092
- 1,118
SWALI KWA BUSINESS ADMINSTRATOR, FINANCE MANAGERS, CONSULTANTS, ACCOUNTANTS, ECONOMIST,
Kampuni inafanya biashara ya trading(kuuza na kununua) iko kariakoo,
mapato yake as per accounts ni 18% return on investments (ROI)
Working Capital about Tshs 450 million. Turnover Tshs 2,000 million(2 bln)
Inflation (Industrial) range 12% to 20% within 5yrs- make lt 16%.
Kampuni imeamua kupanua biashara aidha kwa kuongeza Mtaji toka kwa Financiers
RIBA au gharama za mtaji huo sokoni(bankers, non equity investors ) ni 18% to 25%
Wanaomba ushauri wenu kufanya maamuzi kwani soko halina shida kwa return zilizopo.
wakope ? au wafanye nini ? je biashara hiyo inakuwa ? kama inakuwa kwa kiasi gani ?
Kampuni inafanya biashara ya trading(kuuza na kununua) iko kariakoo,
mapato yake as per accounts ni 18% return on investments (ROI)
Working Capital about Tshs 450 million. Turnover Tshs 2,000 million(2 bln)
Inflation (Industrial) range 12% to 20% within 5yrs- make lt 16%.
Kampuni imeamua kupanua biashara aidha kwa kuongeza Mtaji toka kwa Financiers
RIBA au gharama za mtaji huo sokoni(bankers, non equity investors ) ni 18% to 25%
Wanaomba ushauri wenu kufanya maamuzi kwani soko halina shida kwa return zilizopo.
wakope ? au wafanye nini ? je biashara hiyo inakuwa ? kama inakuwa kwa kiasi gani ?