divorce ya nguvu akaishi na vipanya vyake,miwanaume ya kiafrica ovyo sana
Hivi vitu Lizzy inatakiwa u relax, hata usimfikirie hata kidogo - in the process tutapata tu a perfect shem. Pia kuna option ya kunitembelea nikuandalie dinner mana huby ana marafi ambao bado wako single na wana pontetial....
Nitasubiri tu usijali.
Hata ukifikisha miaka 50 bado nakuhitaji.
Lizzy we jikalie hivo hivo msela,who knows inawezekana ukawa better off kuliko hao walioolewa.Ila kama huna mtoto tafuta hata kama utazaa na mme wa mtu ili mradi uwe na uwezo wa kumlea mwenyewe.
Bora kina sie tusio na matarajio ya kua na hao waume!!!
Inabidi uvumilie kwa sababu uliapa kuwa utakuwa naye ktk shida na raha ,hizo ndiyo shida zenyewe.
Not worth it. There are so many of us out there... You can even live single for the rest of your life-I mean will he still be your husband after doing that?nikiwa nina uhakika 100%
itabidi nimtahiri mara ya pili
au nivunje mayai ......
nadhani hii ndio solution
So wazungu,waarabu na waasia hawa-cheat kwenye ndoa zao? Halafu, hakuna wanawake wa kiafrika (kizungu,kiasia, kiarabu) wanao-cheat? Labda tuseme miafrika hovyo sana.. Matatizo tunayoyapata ktk mahusiano yapo ktk kila jamii duniani, na wala sio Africa pekee. Nakushauri uangalie kipindi cha Cheaters ktk channel ya e Africa (etv).divorce ya nguvu akaishi na vipanya vyake,miwanaume ya kiafrica ovyo sana
pole lizy.... na wazazi wako wangesema hivyo wewe leo ungekuwepo?
Lizzy,Nnunu hapo juu naona anataka kunila nyama mpaka kanishtaki kwa wadau wengine.Mwambie a chill bana haya mambo ni ya kawaida mbona.Kuliko ubaki huna mtoto si bora wa kuchakachua na kama una hela yako si unalea mwenyewe? Kikubwa usimsumbue mama chanja wa jamaa kwa kumpigia simu za matusi au kuomba hela ya maziwa.Mhhhh Bishanga nimeLIKE hiyo sehemu ya kubaki msela ila kuzaa na mume wa mtu hata kwa ruhusa ya mke sitaki....besides, i won't need to!!
Shur....kwani kwenye ndoa tu ndo watoto wanazaliwa???
Lizzy,Nnunu hapo juu naona anataka kunila nyama mpaka kanishtaki kwa wadau wengine.Mwambie a chill bana haya mambo ni ya kawaida mbona.Kuliko ubaki huna mtoto si bora wa kuchakachua na kama una hela yako si unalea mwenyewe? Kikubwa usimsumbue mama chanja wa jamaa kwa kumpigia simu za matusi au kuomba hela ya maziwa.
kumbe tayari wahitaji mwanamume!!!! au utafanyiwa implantation ya mbegu za kiume hospital??
Utafanyeje ukigundua kuwa mumeo ana watoto wawili nje aliozaa na changudoa na mwingine kazaa na baa medi?
Kwa kweli mume atembee tu nje, akizaa regardless kazaa na nani, ni bonge la noma. Sijuhi nita react vipi kwa kweli kwani najaribu kupiga picha inagoma kabisa kuja aisee.