Pre GE2025 Swali kwa Kinana, Je haki na uhuru wa uchaguzi huamriwa na Rais?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mkuu Kinana yupo sahihi!

Kwa nini uogope kama unamuamini Kinana kwenye kauli, vitendo, mipango na mikakati?

Kumbe ni kweli CCM haishindi kwa haki? Na mtama ndio usiotaka uonekane!

Samia, Jakaya, Kinana na nchimbi hawataki haramu ya Magufuli! Usihalalishe wizi wa kura!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…