Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Mkumbo kapitia ugumu wa maisha haswa hapo anajiona kama yupo mbinguni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiki ndiyo CCM wanaweza
Hehehee akikujibu nimekaa paleHilo ni swali tu Wala Sina ugomvi Wala husda ya MTU yoyote kuitwa vyovyote vile aitwavyo.
Inawezekanaje Askofu (sijui kama ni Askofu KWELI) kutaka Samia kuitwa Mama wa Taifa iwe ni Sauti ya Watanzania na.....
1. Isiwe ni Sauti ya Watanzania Kwa wale Maaskofu wa TEC kuhusu "kuuzwa" Kwa bandari zetu?
2. Kwanini "Askofu" huyo hakukemewa Wala kulaaniwa Kwa "kuchanganya" Dini na siasa ila iwe hivyo Kwa TEC? Au siku hizi kuna cheo Cha Uaskofu Huko CCM?
3. Inawezekanaje Askofu mmoja awe NDIO Sauti ya Watanzania na Sio Baraza la Maaskofu? Hili nitamuuliza Binti yangu.....
Inawezekanaje Mizani Ile ile Leo iwe sahihi ila Jana iwe sio sahihi???
Tumekua wepesi wa kusahau kiasi hiki au ni makusudi??View attachment 2784979
HahahMkumbo kapitia ugumu wa maisha haswa hapo anajiona kama yupo mbinguni
Naona kama speed imesuasua sanaKwani suala la bandari bado lipo? Baada ya ule waraka
Ikiwa serikali itazuoliliwa mipango yake ya kimaendeleo na maaskofu wachache, mimi ntaihama CCM na kujiunga na chama kingine cha siasa.Kwani suala la bandari bado lipo? Baada ya ule waraka
We nani sasa?KoubeIkiwa serikali itazuoliliwa mipango yake ya kimaendeleo na maaskofu wachache, mimi ntaihama CCM na kujiunga na chama kingine cha siasa.
Ni jambo la kushangaza kwa sabau Singida ina utajiri mkubwa. Wa amazing, ardhi ya kilimo na mifugo.Huyu mazer kama ndiye amesema haiwezekani miaka 60 singida bado ni masikini, wakati miaka 60 under ccm Tanzania bado ni masikini, basi naye ni masikini wa akili.
Nijuavyo maaskofu wa kikatoliki wote ni raia wa vatikano.
Lebanoni.Hao maaskofu wenu (waalimu madrasa/mashed) wa kiislamu ni raia wa Dubai, Saudia au Oman?
Endelea mipango yako, lile jambo lilishakufa.Ikiwa serikali itazuoliliwa mipango yake ya kimaendeleo na maaskofu wachache, mimi ntaihama CCM na kujiunga na chama kingine cha siasa.
Kuna watu ni wajinga sana.Kwani huyo askofu hana haki ya kusema yeye mwenyewe mpaka akusemee na wewe?
Mimi hajanisemea, na aliposema hayo nikasema mimi ntamuiyta mama Samia tu, nimelipenda bure, Hilo la mama wa taifa halijanikalia sawa kulitamka, silitumii.
Tatizo nini?
Na mashehe wote ni raia wa DP-DubaiNijuavyo maaskofu wa kikatoliki wote ni raia wa vatikano.
Kweli aisee..mm shawaambia watoto wangu waangalie taarifa za habari za Kenya!Watanzania waliosoma ukiwasikia wakiongea mbele ya huyo bibi, hutatamani kumpeleka mtoto wako shule
Hakuna raia wa DP World kuna Raia wa Dubai, na viongozi wao huko wanaitwa ma Sheikh.Na mashehe wote ni raia wa DP-Dubai
Hilo lako naona ni baya ikiwa baba.Kweli aisee..mm shawaambia watoto wangu waangalie taarifa za habari za Kenya!
Habari za Tanzania wataishia kujifunza
1:Kazi ya Rais ni kugawa Hela 2.Majukumu ya VIONGOZI Waandamizi Serikalini ni kumsifia Rais
Sikufahamu huyu ndugu anaweza kuwa MJINGA kiasi hiki? Nilimheshimu lakini sasa nimemdharau. Nafikiri ndio maana hawezi kushinda ubunge UBUNGOHuyu prof na yule wa vinyesi mto Mara hawana tofauti