Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Maandiko matakatifu yanasema "Mpumbavu huamini kila neno bali mwenye hekima huchunguza sana".
Haya Mwakinyo nijibu haya maswali;
1. Ulizuiliwa kununua viatu huko Uingereza?
2. Promoter wako hakuweza kufanya mchakato wa kukutafutia vifaa kazi baada ya kupoteza vifaa vyako?
3. Hivyo viatu ambavyo havijakufiti ulivigundua kuwa unfit baada au kabla ya kuvivaa?
4. Kulikuwa na shuruti katika kuvaa hivyo viatu?
5. Ulipewa viatu na hao wenyeji wako kwa kuzingatia order yako? yaani ulitaja size au ulitupiwa tu kama mgao wa jeshi?
Haya Mwakinyo nijibu haya maswali;
1. Ulizuiliwa kununua viatu huko Uingereza?
2. Promoter wako hakuweza kufanya mchakato wa kukutafutia vifaa kazi baada ya kupoteza vifaa vyako?
3. Hivyo viatu ambavyo havijakufiti ulivigundua kuwa unfit baada au kabla ya kuvivaa?
4. Kulikuwa na shuruti katika kuvaa hivyo viatu?
5. Ulipewa viatu na hao wenyeji wako kwa kuzingatia order yako? yaani ulitaja size au ulitupiwa tu kama mgao wa jeshi?