Weka na andiko linalopingana na mafundisho ya yesu.Ikiwa Mitume wote walitumwa na Mungu, kwa nini kuna tofauti kubwa kati ya mafundisho ya Yesu (ambaye anatambuliwa katika Uislamu) na Nabii Muhammad?
Yesu katika Uislamu anatambuliwa kama mtume wa Mungu lakini mafundisho yake katika Injili (kama vile upendo kwa adui na msamaha) yanatofautiana na baadhi ya mafundisho ya Muhammad. Je, Mungu anaweza kutuma ujumbe unaopingana kupitia mitume wake?
Andiko la Biblia:
• Mathayo 5:44: “Lakini mimi nawaambia, wapendeni adui zenu, waombeeni wanaowaudhi…”
Ongeza na Hili Fundisho usilisahau..Ikiwa Mitume wote walitumwa na Mungu, kwa nini kuna tofauti kubwa kati ya mafundisho ya Yesu (ambaye anatambuliwa katika Uislamu) na Nabii Muhammad?
Yesu katika Uislamu anatambuliwa kama mtume wa Mungu lakini mafundisho yake katika Injili (kama vile upendo kwa adui na msamaha) yanatofautiana na baadhi ya mafundisho ya Muhammad. Je, Mungu anaweza kutuma ujumbe unaopingana kupitia mitume wake?
Andiko la Biblia:
• Mathayo 5:44: “Lakini mimi nawaambia, wapendeni adui zenu, waombeeni wanaowaudhi…”
Issue ni kuna Ukristo wa Aina mbiliIkiwa Mitume wote walitumwa na Mungu, kwa nini kuna tofauti kubwa kati ya mafundisho ya Yesu (ambaye anatambuliwa katika Uislamu) na Nabii Muhammad?
Yesu katika Uislamu anatambuliwa kama mtume wa Mungu lakini mafundisho yake katika Injili (kama vile upendo kwa adui na msamaha) yanatofautiana na baadhi ya mafundisho ya Muhammad. Je, Mungu anaweza kutuma ujumbe unaopingana kupitia mitume wake?
Andiko la Biblia:
• Mathayo 5:44: “Lakini mimi nawaambia, wapendeni adui zenu, waombeeni wanaowaudhi…”
Akili ndogi hiiIssue ni kuna Ukristo wa Aina mbili
1. Ulioandikwa kwenye Biblia
2. Maneno ya ya wanaojiita manabii, wachunganji etc
Hii challenge naitoa sana humu, hebu jitoe ufahamu Soma Biblia usisikilize maneno ya watu, Soma Biblia Yesu alivaaje, vaa Kanzu fupi kama Yesu, Soma Biblia Yesu allfuga ndevu, Soma Biblia, vaa makubazi kama Yesu, Soma Biblia swali kama Yesu kwa Kusujudu, fanya vyote hivyo Public mjini watu watakuita Mkristo ama Muisilamu?
Issue ni kwamba mumeacha mafundisho ya injili munafuata tu matamanio yenu. Ila mukifuata mafundisho ya Ukristo Automatic utajikuta na wewe kama muisilamu.
Maana ya Upanga ni Neno la MunguOngeza na Hili Fundisho usilisahau..
Mathayo 10:34-39
34 Msidhani ya kuwa nimekuja kuleta amani duniani; la! Sikuja kuleta amani, bali upanga.
35 Kwa maana nalikuja kumfitini mtu na babaye, na binti na mamaye, na mkwe na mkwe mtu;
36 na adui za mtu ni wale wa nyumbani mwake.
37 Apendaye baba au mama kuliko mimi, hanistahili; wala apendaye mwana au binti kuliko mimi, hanistahili.
38 Wala mtu asiyechukua msalaba wake akanifuata, hanistahili.
39 Mwenye kuiona nafsi yake ataipoteza; naye mwenye kuipoteza nafsi yake kwa ajili yangu ataiona.
Mafundisho ya Nabii Muhammad yana tofauti kubwa na yale ya Yesu Kristo katika maeneo mbalimbali, hasa kuhusu tabia ya Mungu, mahusiano ya binadamu, na njia ya wokovu. Hapa kuna baadhi ya tofauti kuu:Hakuna dini Inayohimiza Amani na Upendo kama dini ya uislamu.
Kuanzia mafundisho yake na hata Historia ya Kuenezewa kwake.
Watu watasema Mtume aliisambaza Dini kwa Upanga yaani wanaichukua Historia katikati wanaacha kile kipande cha nyuma namna mipango ya kumuua mtume ilivyosukwa baada ya yeye kutangaza utume.
Namna masuhaba wake walivyoteswa walipokuwa wanaukubali uislamu. Hadi ikafikia hatua ya kuuwawa.
lakini kila walipomwambia mtume kuwa tupigane nao maana wamezidisha vitimbi Mtume aliwataka wawe na subra hadi pale sasa hali ilivyokuja kuwa mbaya zaidi ikiwa hakuna namna ila kupigana.
Sasa mtu ataacha Historia yote hiyo ya nyuma atakuja kudandia hapo kuwa mtume anawaruhusu masuhaba zake wapigane na hao walioanzisha uadui wa wazi wazi.
Kisha watu watakusanya aya zote zilizoshuka wakati Vita imeanza na kusema hayo ndio maisha ya waislamu.
Ili hali Aya zilishuka katika kipindi maalumu ambazo zilitoa maelezo namna ya kupigana vita na adui aliyekusudia kukuangamiza.
Kuna watu bado wanaamini kuwa Mtume alipotangaza utume wake waarabu wenzie walimuamini moja Kwa moja.
Hawajui kuwa hao waarabu walipanga njama nyingi sana za kumuua kwa sababu dini aliyokuja nayo Mtume alikuwa ni Kinyume ni dini zao za kuabudia masanamu.
Weka na andiko linalopingana na mafundisho ya yesu.
Mafundisho ya Nabii Muhammad yana tofauti kubwa na yale ya Yesu Kristo katika maeneo mbalimbali, hasa kuhusu tabia ya Mungu, mahusiano ya binadamu, na njia ya wokovu. Hapa kuna baadhi ya tofauti kuu:
Upendo kwa adui
Yesu Kristo alifundisha msamaha na upendo kwa maadui kama msingi wa maisha ya Kikristo.
Biblia:
“Lakini mimi nawaambia, wapendeni adui zenu, waombeeni wanaowaudhi.” (Mathayo 5:44)
“Usishindwe na uovu, bali uushinde uovu kwa wema.” (Warumi 12:21)
Nabii Muhammad alifundisha kulipiza kisasi katika baadhi ya hali, hasa kwa wale waliokuwa wakipinga Uislamu.
Quran:
• “Na piganeni nao mpaka kusiwepo fitna, na dini iwe kwa ajili ya Mwenyezi Mungu.” (Sura Al-Baqarah 2:193)
• Katika Hadith: Muhammad aliidhinisha vita dhidi ya wale waliomkataa kama mtume au walipinga Uislamu. (Sahih Bukhari 4:52:196)
2. Njia ya Wokovu
Yesu Kristo alifundisha kuwa wokovu ni kwa neema kupitia imani, si kwa matendo pekee.
Biblia:
•“Kwa maana mmeokolewa kwa neema, kwa njia ya imani – ambayo si kutoka kwenu wenyewe, bali ni kipawa cha Mungu.” (Waefeso 2:8-9)
Nabii Muhammad alifundisha kuwa wokovu unategemea mizani ya matendo mema dhidi ya mabaya, pamoja na rehema ya Mungu.
Kurani:
• “Basi atakayefanya wema wenye uzito wa chembe, atauona. Na atakayefanya uovu wenye uzito wa chembe, atauona.” (Sura Az-Zalzalah 99:7-8)
• Hadith inasema hata Nabii Muhammad hakuwa na uhakika wa wokovu wake bila rehema ya Mungu. (Sahih Bukhari 8:76:470)
3. Maadili ya Ndoa na Familia
Yesu Kristo alifundisha upendo wa mke mmoja na kutilia mkazo uaminifu katika ndoa.
Biblia:
• “Kwa sababu hiyo mtu atamwacha baba yake na mama yake, ataambatana na mkewe, na hao wawili watakuwa mwili mmoja.” (Mathayo 19:5-6)
Nabii Muhammad aliruhusu ndoa za wake wengi (hadi wanne) kwa wanaume, mradi waweze kuwatendea haki. Muhammad mwenyewe alioa wake wengi zaidi ya wanne, jambo lililokuwa maalum kwake pekee.
Quran:
• “Mwaweza kuoa wake wawili, watatu, au wanne; lakini mkihofia kuwa hamwezi kufanya uadilifu, basi mmoja tu…” (Sura An-Nisa 4:3)
4. Tabia ya Mungu
• Yesu Kristo alifundisha kuwa Mungu ni Baba mwenye upendo na anatamani uhusiano wa karibu na binafsi na kila mtu.
Biblia:
• “Mnaposali semeni, Baba yetu uliye mbinguni…” (Mathayo 6:9)
• “Bwana ni mwenye huruma na neema, si mwepesi wa hasira…” (Zaburi 103:8)
Nabii Muhammad alifundisha kuwa Mungu (Allah) ni wa kutukuzwa zaidi ya binadamu, lakini haonyeshi tabia ya kuwa Baba wa mtu binafsi.
Quran
• “Hapana yeyote aliye kama Yeye, na Yeye ndiye Mwenye kusikia na kuona.” (Sura Ash-Shura 42:11)
• “Na hawatamjua Mwenyezi Mungu kwa kadiri ipasavyo…” (Sura Az-Zumar 39:67)
5. Matumizi ya Nguvu
Yesu Kristo alihimiza kujiepusha na matumizi ya nguvu, hata wakati wa mateso. Aliwakataza wanafunzi wake kutumia silaha kumtetea.
Biblia:
• “Rudisha upanga wako mahali pake, kwa maana wote waushikao upanga, wataangamia kwa upanga.” (Mathayo 26:52)
Nabii Muhammad alihimiza matumizi ya nguvu wakati wa vita vya kijihadi au kulinda dini.
Quran:
•“Mmepewa ruhusa ya kupigana kwa sababu mmedhulumiwa.” (Sura Al-Hajj 22:39)
• “Na mpigane nao mpaka kusiwepo tena fitna…” (Sura Al-Baqarah 2:193)
Mkuu mbona nyie huwa hamna hoja?, Kwa nini majority ya wakristo hawaijui bibilia inside and out side?, hebu nenda kaisome tena hiyo bibilia yako kisha uje ukiwa timamu ki uelewa na maandiko, huyo YESU wako kasema hivo sawa vipi mtume Muhammad (s.a.w) alipigwa mawe twaif hata kuumia na kun'goka meno kwa kupigiwa na aka ulizwa hao waiokupiga tuwafanya nini (tuwape adhabu) ?, ila yeye aka jibu waachwe huenda siku za usoni wakawa warithi wangu na kwa uwezo wa ALLAH huo mji hadi kesho upo na una wasomi wengi wa dini ya kiislamu, sasa hiko ni kisa kimoja tu vipo vingi, usio ongee usicho kijua Kisha huyajui mafundisho ya YESU wewe , mafundisho ya YESU wewe huyafati na uki yafata lazima ya kupelek kwenye haki kama una bisha eka ahadi hapa tuichambue bibilia ki undaniIkiwa Mitume wote walitumwa na Mungu, kwa nini kuna tofauti kubwa kati ya mafundisho ya Yesu (ambaye anatambuliwa katika Uislamu) na Nabii Muhammad?
Yesu katika Uislamu anatambuliwa kama mtume wa Mungu lakini mafundisho yake katika Injili (kama vile upendo kwa adui na msamaha) yanatofautiana na baadhi ya mafundisho ya Muhammad. Je, Mungu anaweza kutuma ujumbe unaopingana kupitia mitume wake?
Andiko la Biblia:
• Mathayo 5:44: “Lakini mimi nawaambia, wapendeni adui zenu, waombeeni wanaowaudhi…”
Kwa kweli afadhali waislam wa zamahizo kuliko hawa wa saaa hivi wanaoabudu majini.Mkuu mbona nyie huwa hamna hoja?, Kwa nini majority ya wakristo hawaijui bibilia inside and out side?, hebu nenda kaisome tena hiyo bibilia yako kisha uje ukiwa timamu ki uelewa na maandiko, huyo YESU wako kasema hivo sawa vipi mtume Muhammad (s.a.w) alipigwa mawe twaif hata kuumia na kun'goka meno kwa kupigiwa na aka ulizwa hao waiokupiga tuwafanya nini (tuwape adhabu) ?, ila yeye aka jibu waachwe huenda siku za usoni wakawa warithi wangu na kwa uwezo wa ALLAH huo mji hadi kesho upo na una wasomi wengi wa dini ya kiislamu, sasa hiko ni kisa kimoja tu vipo vingi, usio ongee usicho kijua Kisha huyajui mafundisho ya YESU wewe , mafundisho ya YESU wewe huyafati na uki yafata lazima ya kupelek kwenye haki kama una bisha eka ahadi hapa tuichambue bibilia ki undani
Mwenye macho haambiwi tazama..Lakini ukiyaangalia maisha yao namna wanavyowatendea waislamu na namna chuki yao juu ya uislamu ilivyo kuu Utaona Hayo wanayoyasema ni madai tuu na Sio uhalisia katika vifua vyao.
Sasa utafuata vipi Ukristo bila kumuangalia Yesu?Akili ndogi hii
Kwamba Mohammad hakusoma basi waislam wawe wajinga kama yeye.
Mohammadi aliua basi waislam nak waue.
Mohammad alioa mtoto wa miaka tisa basi na wewe ufanye hivyo