Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Kiukweli pamoja na kazi nzuri anazofanya Mh Rais Dr Samia Suluhu Hassan pamoja na watumishi wema na wanaomshauri vizuri juu ya ustawi wa Taida letu la Tamzania ni vizuri tuliangalie na hili.
Mpaka sasa yayumukinika kuwa Wizi na upotevu wa pesa za umma zinazoishia mikononi mwa watu wachache hasa wenye nguvu na madaraka serikalini ni nyingi Takribani Trilioni 2.
Inasikitisha kwamba unamkamua mwananchi kwa Tozo na kodi mbali mbali mwenye kipato kidogo kwa gia la kujenga Nchi kumbe hizo hela zinaenda kujenga uchumi wa watu wachache.
Kwamba Natuma pesa elfu 10 kijijini kwa bibi yangu serikali ina ikata sh 500.
Tunajikusanya watanzania milioni 5 tunachangia bilioni 1 zinazoenda kuliwa na watu wawili au watatu tu.
Kama kweli serikali ya Rais Samia imejizatitikupambania wananchi ili tazame na hili.
Ipo siku hata hao wanaotukopesha pesa za maendeleo watatuchoka.
Inakuwa kama Taifa Rais anatoka nje kwenda kutafuta vijisentikutuletea wanawe atujengee shule na hospitali harafu kundi la watu wachache wanazitapanya?
Hao wanaotukopesha Tril 1, then tunaiba Tril 2 naona wakiendelea kutupa hizo hela basi itakuwa wanaunga mkono huo wizi na kwamba kuna namna wanafaidika na huo mfumo.
Sasa Mh Rais Wangu Mpenda Haki na Maendeleo hawa watu wanakupanda Mabegani.
Kama wanawezekana tumia sheria na kanuni waliohusika wawajibishwe.
Kama ni watu wenye nguvu sana hawawezekani basi waache waendelee kula. Sisi tutaendelea kunyonywa tu.
Mpaka sasa yayumukinika kuwa Wizi na upotevu wa pesa za umma zinazoishia mikononi mwa watu wachache hasa wenye nguvu na madaraka serikalini ni nyingi Takribani Trilioni 2.
Inasikitisha kwamba unamkamua mwananchi kwa Tozo na kodi mbali mbali mwenye kipato kidogo kwa gia la kujenga Nchi kumbe hizo hela zinaenda kujenga uchumi wa watu wachache.
Kwamba Natuma pesa elfu 10 kijijini kwa bibi yangu serikali ina ikata sh 500.
Tunajikusanya watanzania milioni 5 tunachangia bilioni 1 zinazoenda kuliwa na watu wawili au watatu tu.
Kama kweli serikali ya Rais Samia imejizatitikupambania wananchi ili tazame na hili.
Ipo siku hata hao wanaotukopesha pesa za maendeleo watatuchoka.
Inakuwa kama Taifa Rais anatoka nje kwenda kutafuta vijisentikutuletea wanawe atujengee shule na hospitali harafu kundi la watu wachache wanazitapanya?
Hao wanaotukopesha Tril 1, then tunaiba Tril 2 naona wakiendelea kutupa hizo hela basi itakuwa wanaunga mkono huo wizi na kwamba kuna namna wanafaidika na huo mfumo.
Sasa Mh Rais Wangu Mpenda Haki na Maendeleo hawa watu wanakupanda Mabegani.
Kama wanawezekana tumia sheria na kanuni waliohusika wawajibishwe.
Kama ni watu wenye nguvu sana hawawezekani basi waache waendelee kula. Sisi tutaendelea kunyonywa tu.