Swali kwa Viongozi/Wanasiasa Wetu: Kama Waliuona Udhalimu wa Awamu Iliyopita, na Wakaunyamazia, Is it Right Kuusema Sasa au Waendelee Kunyamaza?.

Swali kwa Viongozi/Wanasiasa Wetu: Kama Waliuona Udhalimu wa Awamu Iliyopita, na Wakaunyamazia, Is it Right Kuusema Sasa au Waendelee Kunyamaza?.

Huu ni ushauri kwa viongozi wetu, kama kuna mambo mabaya ya udhalimu wa awamu iliyopita, ukayaona na dhamira yako ikakuambia they are not right, lakini kwa sababu ya uoga, akaamua kunyamaza na kuunyamazia huo udhalimu, then jee tuwashauri, kwa vile waliouona huo udhalimu na kuunyamazia, hata baada ya kuingia awamu nyingine, wao waendelee kunyamaza and take their secrets to their graves?.

Kama wakati mambo ya kidhalimu yanatendeka, wewe kiongozi ukiona na ulinyamaza na hukusema wala kukemea, kwa mujibu wa sheria ya karma, mtu unahukumiwa kwa matendo yako tuu na sio kwa mawazo yako au kwa maneno yako.

Ila mtu ukiona maovu yanatendeka na ukanyamaza kimya bila kukemea, karma inakuhesabu wewe ni mshirika wa uovu ule, kitendo cha kuona na kunyamaza, kinakufanya wewe kuwa ni sehemu ya uovu ule as an accessory either before the facts or after the facts. Karma will only spare you kama utaendelea kunyamaza na salama yako ya karma isikurudi ni kwasababu mtendaji uovu huo, au udhalimu huo sio wewe!, wewe kosa lako ni kujua/kuona uovu unatendeka, hukukemea, hukuzuia.

Lakini kwa awamu hii ya sasa, wewe uliyeunyamazia uovu wa awamu iliyopita, hauna the audacity or moral authority ya kuutaja uovu wowote wa awamu iliyopita kwasababu uliunyamazia wakati ukitendeka. Watu pekee wenye uwezo wa kuzungumzia uovu, udhaifu na udhalimu wa awamu iliyopita ni wale tuu ambao walisimama imara, wakaupinga, wakausema na wakaulalamikia uovu huo wakati ukitendeka, ili kuuzuia.
P
Bandiko hili bado linasadifu, wakati huu madudu ya ajabu ya awamu iliyopita yamefukunyuliwa na kitabu cha EK, nawaomba nyie viongozi mliokuwepo, mkayaona, mkanyamaza, hamkukemea, saa hizi yanafukunyuka, endeleleeni kunyamaza EK ni one among the best IJ journalist wa Tanzania, hicho kitabu chake ni IJ piece!.
P
 
Bandiko hili bado linasadifu, wakati huu madudu ya ajabu ya awamu iliyopita yamefukunyuliwa na kitabu cha EK, nawaomba nyie viongozi mliokuwepo, mkayaona, mkanyamaza, hamkukemea, saa hizi yanafukunyuka, endeleleeni kunyamaza EK ni one among the best IJ journalist wa Tanzania, hicho kitabu chake ni IJ piece!.
P
P bado tunatarajia kusikia voice from within kwa maslahi ya taifa na Wanataifa.
 
Bandiko hili bado linasadifu, wakati huu madudu ya ajabu ya awamu iliyopita yamefukunyuliwa na kitabu cha EK, nawaomba nyie viongozi mliokuwepo, mkayaona, mkanyamaza, hamkukemea, saa hizi yanafukunyuka, endeleleeni kunyamaza EK ni one among the best IJ journalist wa Tanzania, hicho kitabu chake ni IJ piece!.
P
Ulikuwa hujui haya ulipoandika kuhusu makala yako Kabendera article in Economist iliyomfanya apate misukosuko yote ile kutoka kwa serikali.

Wewe si ndio chanzo yeye kugundulika anaiponda na kupotosha ukweli wakati ule.

Unaitendee vyema cover yako kuuma na kupuliza.
 
Bandiko hili bado linasadifu, wakati huu madudu ya ajabu ya awamu iliyopita yamefukunyuliwa na kitabu cha EK, nawaomba nyie viongozi mliokuwepo, mkayaona, mkanyamaza, hamkukemea, saa hizi yanafukunyuka, endeleleeni kunyamaza EK ni one among the best IJ journalist wa Tanzania, hicho kitabu chake ni IJ piece!.
P
Kama kawaida yako unacheza pande zote mbili. Najua upo kazini. Kongole.
 
Bandiko hili bado linasadifu, wakati huu madudu ya ajabu ya awamu iliyopita yamefukunyuliwa na kitabu cha EK, nawaomba nyie viongozi mliokuwepo, mkayaona, mkanyamaza, hamkukemea, saa hizi yanafukunyuka, endeleleeni kunyamaza EK ni one among the best IJ journalist wa Tanzania, hicho kitabu chake ni IJ piece!.
P
Yote yalioandikwa humo kwenye kitabu unayaamini ni ukweli 100% ?
 
Wanabodi,
Kama kawaida yangu kila nipatapo fursa, huja na makala zangu hizi za 'Kwa Maslahi ya Taifa" nikiandika kuhusu jambo lolote la kisiasa, kiuchumi ua kijamii kuhabarisha, kuelimisha na kuburudisha, ikiwemo kupongeza, kukosoa, au kushauri kupitia ushauri wa bure kwa mtindo wa swali, halafu jibu utalitoa mwenyewe.

Makala ya leo ni swali la ushauri wa bure kwa viongozi wetu, na haswa wanasiasa wetu, kuhusu kitu kinachoitwa Karma, japo ni kitu cha kufikirika tuu, lakini kipo na kinafanya kazi, yaani Karma is Real!.

Swali lenyewe ni kwa viongozi na wanasiasa wetu wa awamu iliyopita ambao bado wapo kwenye awamu hii, kama waliuona udhalimu wowote wa awamu Iliyopita, na wakaunyamazia, is it right kuusema sasa kwenye awamu hii au kwa vile waliona na wakanyama, ni bora waendelee kunyamaza?.

Naanza bandiko hili kwa maneno ya Baba wa Taifa, Mwalimu Nyerere "Awamu yetu ilikuwa na mazuri yake, na mengine ya kijinga" . Kauli hii ni kuthibitisha serikali za awamu mbalimbali zinaweza kufanya mambo mema na mazuri, lakini pia zinaweza kufanya mambo mabaya na ya kijinga ukiwemo udhalimu!. Kuhusu hili la udhalimu niliwahi kushauri Elections 2015 - Kama Hii ni Kweli, Then, Serikali Yetu ni Serikali Dhalimu?, Haramu?. Hukumu ya Karma ii Juu Yake!

Huu ni ushauri kwa viongozi wetu, kama kuna mambo mabaya ya udhalimu wa awamu iliyopita, ukayaona na dhamira yako ikakuambia they are not right, lakini kwa sababu ya uoga, akaamua kunyamaza na kuunyamazia huo udhalimu, then jee tuwashauri, kwa vile waliouona huo udhalimu na kuunyamazia, hata baada ya kuingia awamu nyingine, wao waendelee kunyamaza and take their secrets to their graves?.

Kama wakati mambo ya kidhalimu yanatendeka, wewe kiongozi ukiona na ulinyamaza na hukusema wala kukemea, kwa mujibu wa sheria ya karma, mtu unahukumiwa kwa matendo yako tuu na sio kwa mawazo yako au kwa maneno yako.

Ila mtu ukiona maovu yanatendeka na ukanyamaza kimya bila kukemea, karma inakuhesabu wewe ni mshirika wa uovu ule, kitendo cha kuona na kunyamaza, kinakufanya wewe kuwa ni sehemu ya uovu ule as an accessory either before the facts or after the facts. Karma will only spare you kama utaendelea kunyamaza na salama yako ya karma isikurudi ni kwasababu mtendaji uovu huo, au udhalimu huo sio wewe!, wewe kosa lako ni kujua/kuona uovu unatendeka, hukukemea, hukuzuia.

Lakini kwa awamu hii ya sasa, wewe uliyeunyamazia uovu wa awamu iliyopita, hauna the audacity wa kuutaja uovu wowote wa awamu iliyopita kwasababu uliunyamazia wakati ukitendeka. Watu pekee wenye uwezo wa kuzungumzia uovu, udhaifu na udhalimu wa awamu iliyopita ni wale tuu ambao walisimama imara, wakaupinga, wakausema na wakaulalamikia uovu huo wakati ukitendeka, ili kuuzuia.

Hawa viongozi wa sasa na wanasiasa wa sasa wanao izungumzia awamu iliyopita in a negative way, lakini enzi zile walikuwepo na walinyamaza, karma ya maovu na udhalimu wa awamu iliyopita, haitawaacha salama, lazima itawashughulikia tuu, kwa kuyasema sasa ni kuwahesabu ni kama kumsema vibaya marehemu ambaye hawezi kujitetea!, hivyo ki karma, kosa hilo ni kosa kama kosa la the consecration of the dead!.

Nimetoa ushauri huu, kufuatia baadhi ya viongozi wetu na wanasiasa wetu wa sasa ambao pia waliokuwepo awamu iliyopita na sasa wapo awamu hii, wakikosoa baadhi ya mambo ya awamu iliyopita, ambapo enzi hizo yakifanyika waliona na walinyamaza, sasa Mama anarekebisha mambo, ndio tunawaona sasa wakiibuka na kuanza kusema!.

Naendelea kusisitiza ile haki ya kuona kitu au kusikia kitu na kunyamaza, Swali la Morality: Je, ni lazima kuusema kila ukweli unaousikia au tutangulize mbele maslahi ya Taifa?
ukiisha amua kunyamaza, ni unanyamaza mpaka mwisho!, na sio ulinyamaza enzi zile uovu na udhalimu unafanyika, halafu sasa leo baada ya kuona Mama ana fanya mambo, ndio sasa na wewe ndio unaongea!. Karma itakutafuna!.

Ushauri kama huu pia niliwahi kuutoa kwa wanasiasa hama hama Angalizo kwa Wanasiasa hamahama; Japo ni haki yenu lakini msisahau fadhila. Kuweni watu wa shukrani, mtabarikiwa sana, vinginevyo karma Itawahusu!

Hitimisho
Nimalizie kwa lile swali la bandiko hili kwa viongozi na wanasiasa wetu wa awamu iliyopita ambao bado wapo kwenye awamu hii, kama waliuona udhalimu wowote wa awamu Iliyopita, na wakaunyamazia, is it right kuusema sasa kwenye awamu hii au kwa vile waliona na wakanyama, ni bora waendelee kunyamaza?.

Kwa wasioijua karma ni nini karibu mitaa hii "The Power of 'Karma'- Ndio Hukumu Pekee ya Haki Kamili Hapa Duniani!, Unahukumiwa kwa Matendo Yako!

Waseme au wanyamaze?
Paskali
Rejea za baadhi ya mandiko ya kukemea wakati wenyewe wangalipo.

Baada ya Mwamba Dr. KABENDERA. kumwaga UPUPU na Askofu Mwamakula kusubstantiate aliyoandika ni time na wewe kutupa hint yaliyojili ulipoitwa kwenye Kamati ya Ndugai .... maana ulirudi umepoa sana.
 
Sawa Mkuu. Kwa jinsi ulivyoyoka kwenye Kamati ya Ndugai umelowa. Kimya tayari ni jibu tosha.
Umri ukisonga songa busara zinaongezeka,ukifumaniwa pants down,usikurupuke kutafuta nguo kutaka kuvaa fasta,unachutama unatulia!。 Kwenye ile kuitana Dodoma kwa mikwala, kule kamati kuna mtu amechutama,kistaarabu na wewe unanyamaza as if nothing happened,ila ujinga kama ule haukuwahi kurudiwa tena!。
P
 
Back
Top Bottom