stata mzuka
JF-Expert Member
- Nov 25, 2012
- 4,834
- 1,759
Hapo we mwanaume ndo mrefu na mweusi, unakuta vidada vyeusi na vifupi vina kung'ang'ania kama nini, shit, i just use and dump them.
That is the truth mkuu, but one factor can not used to judge, there are many of them used to judge the size of mgegedo.
Hapo we mwanaume ndo mrefu na mweusi, unakuta vidada vyeusi na vifupi vina kung'ang'ania kama nini, shit, i just use and dump them.
Dahh yaani unajisifu kabisa umevuliwa chupi na warefu. Aisee kweli tunaoaga used
OMG Ni kama umewahi niona sehemu!. Ni pm basi lol!
apo mwishoni umeweka fix
Hamna kitu kama hicho.
Haya mambo ya kukariri yanasababisha unrealistic expectations.
Teheeee tena ukute kifua kimepanuka na ametililia kauzi ka mbaaaali na hajavaa shati... mie ni kwenda kujipumzisha kifuani tu huku nigugumia rohoni mamma miiiiaaaa.. ..! Hii kitu weka mbali na watoto!Tall and Dark? Oh la laaaaaaaa.
Lazima niseme ssssss aaaaaaa.
Damn!
hahahaha wewe mweupe na mfupi sana. dah pole
apo mwishoni umeweka fix
OMG Ni kama umewahi niona sehemu!. Ni pm basi lol!
Mungu anisamehe sijui kuumba,,M/Mke kifup na keusi khaa yaan huyo ni kibushuti haswaa sema kwenye majambozi nasikia ni watundu balaa hawapendi kuonekana weakness yao. Ndio maana Mikorogo imepanda bei.
When a man speaks of using and dumping a woman does he think of his sisters who might have gone through the same thing? Honey Karma is vast...... it will come back to you in one way or another.
Ninavyopenda kudeka sasa? Sibanduki mikononi ng'oooooo.Teheeee tena ukute kifua kimepanuka na ametililia kauzi ka mbaaaali na hajavaa shati... mie ni kwenda kujipumzisha kifuani tu huku nigugumia rohoni mamma miiiiaaaa.. ..! Hii kitu weka mbali na watoto!
Always we think of positive, men who have sisters, nadhani unawajua walivyo wakali.
Hapa kuna tender ya kutu supply na tall and dark men.haya..... Husninyo, Cyan6, Karucee, Heaven on Earth, Ennie, OLESAIDIMU....hebu mnambie hapa kuna diskasheni gani na kama nafit kuwepo kwenye mjadala.....kama sio, niende zangu kwenye magari.:juggle:
No, what I mean is I like a man who is a little mysterious. Not someone I know everything about within the blink of an eye. Its not about having an open mind.
subiri kwanza, wewe ni mrefu mweusi? kama sio mweusi basi maji ya kunde? kama ndio ntafte ASAP.haya..... Husninyo, Cyan6, Karucee, Heaven on Earth, Ennie, OLESAIDIMU....hebu mnambie hapa kuna diskasheni gani na kama nafit kuwepo kwenye mjadala.....kama sio, niende zangu kwenye magari.:juggle: