ladyfurahia
JF-Expert Member
- May 10, 2011
- 14,753
- 9,575
subiri kwanza, wewe ni mrefu mweusi? kama sio mweusi basi maji ya kunde? kama ndio ntafte ASAP.
What I also meant is that mystery is actually in women's mind but not in men's, and that's what makes men apparently appear to women as mysterious! Uless if you do not conquer with this opinion (simple truth?)
Hapo ndio tambuen kuwa akili ya mwanamke inayumbishwa kama upepo yaan kama ilivyo papuchi yao haijulikan ipo upande gan, nyuma ipo mbele ipo kat kat ipo. Leo kavutiwa na six pack kesho atakwambie love garden, atakuja kukwambia mweupe ndio dili baadaye atakwambia mweusi...... Hawa viumbe wa ajabu sana yaan ukipata chance we piga na kutupa kapun halafu endelea kutafuta wengne:canada:
Hapa kuna tender ya kutu supply na tall and dark men.
If you are one of them join in the queue, tuna kazi na nyie!
oooh..unfortunately I am not one of them, and you KNOW it....:mvutaji::mvutaji:🙁:A S-coffee::A S-coffee::A S-coffee:
mmm....sipo kote huko na kama ndo ivo imekula kwangu...kwani huo urefu na weusi sijui maji ya kunde mwaufanyiani?
CC Karucee?
babe ake unafit sana kwenye hii diskashen...subiri mwongozo wa mwenyekiti tuhaya..... Husninyo, Cyan6, Karucee, Heaven on Earth, Ennie, OLESAIDIMU....hebu mnambie hapa kuna diskasheni gani na kama nafit kuwepo kwenye mjadala.....kama sio, niende zangu kwenye magari.:juggle:
haya..... Husninyo, Cyan6, Karucee, Heaven on Earth, Ennie, OLESAIDIMU....hebu mnambie hapa kuna diskasheni gani na kama nafit kuwepo kwenye mjadala.....kama sio, niende zangu kwenye magari.:juggle:
papuchi isiyoeleweka ndo iliyokuleta duniani. ha ha haaa!
Si you come over this very minute.Kaka Kaizer hapa tunadiskasiwa wanaume kwa mujibu wa baadhi ya wadada wanadai wanaume warefu na weusi/maji ya kunde ni magnet !!!!!!
Sasa kwa sababu mimi na wewe kaka hatujawahi kuwa wao basi tusikilize weee then tuchanganye na zetu!!!!!!
Hivi mi na wewe tulikosana kisa nini?
Tuna kazi nao.
Kaka Kaizer hapa tunadiskasiwa wanaume kwa mujibu wa baadhi ya wadada wanadai wanaume warefu na weusi/maji ya kunde ni magnet !!!!!!
Sasa kwa sababu mimi na wewe kaka hatujawahi kuwa wao basi tusikilize weee then tuchanganye na zetu!!!!!!
Si you come over this very minute.
Ndo huyu Karucee?
Naona urefu na weusi umenicost vile siqualify eeh?
Fasta kwa haraka saaana!!!!!!