Swali kwa wadada, Hivi wanaume warefu,weusi wana nini tofauti na wanaume wengine?

Mkuu unachosema ni kweli,dah!ndio maana hawa jamaa wanapendelewa,waganga wa kienyeji wanaongeza saizi ya uume,kwa nini wasiongeze maujanja waongezee watu kimo kama hali ndio hiyo!

Hahaha! Mh! Mkuu....hilo halinabudi kufanyiwa kaz
 
i dont see the sun setting bila ya!!!!!!

Nilikuwa nishawaza mbaliiiii. lol. Bila ya....

Ndo I sobered up nikagundua unasema bila ya .......

I will try not to and you try hard not to make me. haahaaa
 
Utamu wa Mtu ni mtafunaji tu anaujua,
Hivo si kweli maana kila mtu ana ladha yake peke yake!
Haijalishi tall or short.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…