Charliemic
JF-Expert Member
- Feb 17, 2019
- 602
- 969
Kusalimia
mlevi mmojaInategemea kuna wakulungwa wengine hatutumi nauli na memsap hakauki ghetto
Nakazia.Ukiona mdada anakuambia nitumie nauli ww NDIO umemwita na ndio mwenye shida
Sent from my itel S11 using JamiiForums mobile app
Naam cute eyesmlevi mmoja
Sasa ukituma 400/- akienda kutoa itatoka 400/- ?Na ya kutolea nauli huwa wanataka pia!
Au ushafika home nije? Maswali matamu sana hayo!Nakazia.
Na una muhitaji zaidi ya anavyokuhitaji.
Anatakiwa akuulize vipi leo upo nyumbani nije?
Niliwahi kutuma nauli, ya kutolea na hakutokea. Nilipomfuata geto, nikamkuta analiwa na msela.Hv ni kwanini nyie kila siku huwa hamna nauli!?
Hela zenu mnapeleka wapi!?? Kila siku mnataka mtumiwe nauli, khaa! Mtu yupo Ubungo anataka atumiwe nauli ndio aje Kimara mwisho.
Na ya kutolea
nimekumiss😊Naam cute eyes