Charliemic
JF-Expert Member
- Feb 17, 2019
- 602
- 969
Hv ni kwanini nyie kila siku huwa hamna nauli!?
Hela zenu mnapeleka wapi!?? Kila siku mnataka mtumiwe nauli, khaa! Mtu yupo Ubungo anataka atumiwe nauli ndio aje Kimara mwisho.
Na ya kutolea
Hela zenu mnapeleka wapi!?? Kila siku mnataka mtumiwe nauli, khaa! Mtu yupo Ubungo anataka atumiwe nauli ndio aje Kimara mwisho.
Na ya kutolea