Swali kwa wadau juu ya bei za magari

TEMBO KICHAKA

Senior Member
Joined
Aug 3, 2014
Posts
137
Reaction score
89
Nashindwa kuelewa ni kwa nini bei ya magari hapa nchini iko juu zaidi kuliko ya nchi jirani ya Zambia ambayo hupitisha na kuchukua magari yake kweye bandari yetu ya Dar es salaam. Naomba mwenye kulielewa hili anijulishe.
 
Sio bei ya magari tu kuwa juu hapa Tanzania kuliko nchi jirani hata bei ya Diezel na Petrol iko juu sana Tanzania kuliko nchi jirani wakati mafuta hayo yanashushwa Bandari ya Dar na kupelekwa nchi jirani. Tukubali tu, Tanzania ni nchi ya kinyonyaji.
 
Sio bei ya magari tu kuwa juu hapa Tanzania kuliko nchi jirani hata bei ya Diezel na Petrol iko juu sana Tanzania kuliko nchi jirani wakati mafuta hayo yanashushwa Bandari ya Dar na kupelekwa nchi jirani. Tukubali tu, Tanzania ni nchi ya kinyonyaji.

nashindwa kuelewa ni kwa nini bei ya magari hapa nchini iko juu zaidi kuliko ya nchi jirani ya zambia ambayo hupitisha na kuchukua magari yake kweye bandari yetu ya dar es salaam.....? naomba mwenye kulielewa hili anijurishe.

Inategemea na sera ya nchi husika,,,mfano kule kuna uwezekano kodi ikawa ndogo zaidi ktk nishati ya mafuta au gari!!


Sent from my iPad Air using JamiiForums
 
Inategemea na sera ya nchi husika,,,mfano kule kuna uwezekano kodi ikawa ndogo zaidi ktk nishati ya mafuta au gari!!


Sent from my iPad Air using JamiiForums

shukrani kwa jibu mkuu, kwa hiyo ina maana sera za nchi yetu si nzuri kwa maslahi ya mwananchi wa kawaida...?
 
 
Kodi ya Nchii inapatika na kwenye Mafuta,Magari,Bia,na viroba hivyo nilivyovitaja ndivyo vinaendesha serikali!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…