Swali kwa waelewa wa sheria juu ya uwezo wa rais kuongoza

Swali kwa waelewa wa sheria juu ya uwezo wa rais kuongoza

Paul Alex

JF-Expert Member
Joined
Jul 14, 2012
Posts
4,351
Reaction score
9,838
Sheria inasemaje kama yafuatayo yakitokea?
1. Rais akichanganyikiwa au akiugua kichaa akiwa madarakani.
* je, maagizo yenye utata yataendelea kusimama kama maagizo halali ya rais?
* Nani anawajibika kusema kama akili ya rais haiko sawa?
* Hatua gani zinapitiwa mpaka kutangaza kama rais hawezi tena kuendelea kukitumikia cheo cha urais?

2. Rais akitekeleza majukumu yake kwa kiwango dhaifu sana.
* je, sheria inaongelea chochote juu ya standard ambazo rais lazima azifikie katika kutekeleza majukumu yake au akichaguliwa basi, mpaka miaka mitano tena?

3. Rais akitenda kinyume na katiba / akiikiuka katiba, je, sheria inasemaje?
* je, kiapo cha kuilinda katiba huwa kina nguvu, matakwa, maana au wajibu wowote kisheria?

4. Ni wapi kauli za rais zichukuliwe kama maagizo au maelekezo halali ya taasisi ya urais na ni mazingira gani kauli hizo zichukuliwe kama matamshi ya mtu binafsi.
Mfano : kama rais anakawaida ya kutumia kilevi kinachodhoofisha uwezo wake wa kufikiri na kupambanua mambo sawasawa, je, akitoa maamuzi mazito katika hali ya ulevi, sheria inasemaje?

Kwa sasa niishie hapa!
Tahadhari : Sijamsemea / Sija reference mtu yoyote in particular.
Natamaani tu kupata uelewa juu ya haya mambo.
 
Judge mkuu au bunge ndio mwenye mamlaka ya kuamua chochote Kwa hizo hoja zako
 
Katiba yetu mkuu haina nguvu kwani inampa mamlaka yote mtawala. Hivyo tunaongozwa tu na busara za raisi kama akiwa nazo. Kama hana tutafuata maagizo yake. Tulipotaka katiba mpya tukapendekeza kupunguza au siyo kufuta kabisa kuongozwa kwa kutegemea busara za mtawala. Wote tulishuhudia mapendekezo yetu yalivyo chezewa na kupuuzwa kule bungeni
 
Sheria inasemaje kama yafuatayo yakitokea?
1. Rais akichanganyikiwa au akiugua kichaa akiwa madarakani.
* je, maagizo yenye utata yataendelea kusimama kama maagizo halali ya rais?
* Nani anawajibika kusema kama akili ya rais haiko sawa?
* Hatua gani zinapitiwa mpaka kutangaza kama rais hawezi tena kuendelea kukitumikia cheo cha urais?

2. Rais akitekeleza majukumu yake kwa kiwango dhaifu sana.
* je, sheria inaongelea chochote juu ya standard ambazo rais lazima azifikie katika kutekeleza majukumu yake au akichaguliwa basi, mpaka miaka mitano tena?

3. Rais akitenda kinyume na katiba / akiikiuka katiba, je, sheria inasemaje?
* je, kiapo cha kuilinda katiba huwa kina nguvu, matakwa, maana au wajibu wowote kisheria?

4. Ni wapi kauli za rais zichukuliwe kama maagizo au maelekezo halali ya taasisi ya urais na ni mazingira gani kauli hizo zichukuliwe kama matamshi ya mtu binafsi.
Mfano : kama rais anakawaida ya kutumia kilevi kinachodhoofisha uwezo wake wa kufikiri na kupambanua mambo sawasawa, je, akitoa maamuzi mazito katika hali ya ulevi, sheria inasemaje?

Kwa sasa niishie hapa!
Tahadhari : Sijamsemea / Sija reference mtu yoyote in particular.
Natamaani tu kupata uelewa juu ya haya mambo.
Mkuu hii ni muhimu katika kipindi hiki kuliko vingine vyovyote!!
 
Mie nimeyapenda maswali #1&4 na mimi nasubiri majibu...wanasheria mje mtusaidie
 
Unataman kupata uelewa juu ya haya mambo.. Kwa nn leo ndo unatafuta uelewa mkuu.. Maswal yako ya msingi sana
 
Kwahiyo unamaanisha mzilankende amechanganyikiwa? Huu uchochezi mkubwa
 
Sijawahi kukumbumbana hoja ya nguvu na yenye mashiko kama hii kwa kipindi kirefu sana , naomba wanasheria na wajuzi wengine wa ndani na nje ya nchi tufahamisheni
 
Sheria inasemaje kama yafuatayo yakitokea?
1. Rais akichanganyikiwa au akiugua kichaa akiwa madarakani.
* je, maagizo yenye utata yataendelea kusimama kama maagizo halali ya rais?
* Nani anawajibika kusema kama akili ya rais haiko sawa?
* Hatua gani zinapitiwa mpaka kutangaza kama rais hawezi tena kuendelea kukitumikia cheo cha urais?

2. Rais akitekeleza majukumu yake kwa kiwango dhaifu sana.
* je, sheria inaongelea chochote juu ya standard ambazo rais lazima azifikie katika kutekeleza majukumu yake au akichaguliwa basi, mpaka miaka mitano tena?

3. Rais akitenda kinyume na katiba / akiikiuka katiba, je, sheria inasemaje?
* je, kiapo cha kuilinda katiba huwa kina nguvu, matakwa, maana au wajibu wowote kisheria?

4. Ni wapi kauli za rais zichukuliwe kama maagizo au maelekezo halali ya taasisi ya urais na ni mazingira gani kauli hizo zichukuliwe kama matamshi ya mtu binafsi.
Mfano : kama rais anakawaida ya kutumia kilevi kinachodhoofisha uwezo wake wa kufikiri na kupambanua mambo sawasawa, je, akitoa maamuzi mazito katika hali ya ulevi, sheria inasemaje?

Kwa sasa niishie hapa!
Tahadhari : Sijamsemea / Sija reference mtu yoyote in particular.
Natamaani tu kupata uelewa juu ya haya mambo.
Utaratibu wa kutangaza kwamba rais ana matatizo ya kiakili/kimwili na kwamba hataweza kuendelea kuongoza unahusisa mihimili yote mitatu, ambapo kunakuwa na azimio la baraza la mawaziri kwenda kwa jaji mkuu kumwomba athibitishe rais hawezi kuongoza, jaji mkuu atateua jopo la madaktari 10 ambao watamchunguza na kumshauri juu ya afya ya rais na jaji mkuu atawasilisha mapendekezo yake kwa spika wa bunge (Ibara ya 37(2).

Mengineyo ni kama yanafanana. Panapopatikana sababu ya kumshitaki rais mf. Anapokiuka katiba nk, atashitakiwa na bunge kwa mujibu wa Ibara ya 46A ya katiba. Kwa makosa mengineyo rais anayo kinga dhidi ya mashtaka na madai.
 
Utaratibu wa kutangaza kwamba rais ana matatizo ya kiakili/kimwili na kwamba hataweza kuendelea kuongoza unahusisa mihimili yote mitatu, ambapo kunakuwa na azimio la baraza la mawaziri kwenda kwa jaji mkuu kumwomba athibitishe rais hawezi kuongoza, jaji mkuu atateua jopo la madaktari 10 ambao watamchunguza na kumshauri juu ya afya ya rais na jaji mkuu atawasilisha mapendekezo yake kwa spika wa bunge (Ibara ya 37(2).

Mengineyo ni kama yanafanana. Panapopatikana sababu ya kumshitaki rais mf. Anapokiuka katiba nk, atashitakiwa na bunge kwa mujibu wa Ibara ya 46A ya katiba. Kwa makosa mengineyo rais anayo kinga dhidi ya mashtaka na madai.
Katiba mpya ni muhimu sana...

Jopo la madaktari 10??

Washugulike na kuchunguza afya ya mtu mmoja??

Walioandika hii Katiba ya 1977 walikuwa hamnazo kabisa.
 
Sheria inasemaje kama yafuatayo yakitokea?
1. Rais akichanganyikiwa au akiugua kichaa akiwa madarakani.
* je, maagizo yenye utata yataendelea kusimama kama maagizo halali ya rais?
* Nani anawajibika kusema kama akili ya rais haiko sawa?
* Hatua gani zinapitiwa mpaka kutangaza kama rais hawezi tena kuendelea kukitumikia cheo cha urais?

2. Rais akitekeleza majukumu yake kwa kiwango dhaifu sana.
* je, sheria inaongelea chochote juu ya standard ambazo rais lazima azifikie katika kutekeleza majukumu yake au akichaguliwa basi, mpaka miaka mitano tena?

3. Rais akitenda kinyume na katiba / akiikiuka katiba, je, sheria inasemaje?
* je, kiapo cha kuilinda katiba huwa kina nguvu, matakwa, maana au wajibu wowote kisheria?

4. Ni wapi kauli za rais zichukuliwe kama maagizo au maelekezo halali ya taasisi ya urais na ni mazingira gani kauli hizo zichukuliwe kama matamshi ya mtu binafsi.
Mfano : kama rais anakawaida ya kutumia kilevi kinachodhoofisha uwezo wake wa kufikiri na kupambanua mambo sawasawa, je, akitoa maamuzi mazito katika hali ya ulevi, sheria inasemaje?

Kwa sasa niishie hapa!
Tahadhari : Sijamsemea / Sija reference mtu yoyote in particular.
Natamaani tu kupata uelewa juu ya haya mambo.
Pain changes people
 
Back
Top Bottom