Wakuu kuna kitu kimoja nimekiona kwa wafanyabiashara wengi wa Tanzania ambacho naona kama kinaendelea na kuzoeleka kwa wafanyabiashara wengi sina uhakika kama wako sahihi lakini kwa mtazamo wangu naona hawako sahihi.
Kuna wakati nilienda duka fulani kununua vitu ambavyo nauhakika ningemwingizia kipato kama mteja nilifika pale asubuhi nikakuta wamefungua nusu nikiwa na maana wahusika wote wapo lakini wamefungua grill tu kiasi cha kwamba unaweza kuwaona wahusika wote nikaulizia ile bizaa niliyokua naihitaji wakaniambia ipo lakini mda wa kufungua duka bado unaweza kusubiri nikawasisitiza kwa vile nilikua na haraka wakakataa nikaona isiwe shida nikaenda duka lingine nikanunua.
Hivyo hivyo ilishawahi kutokea tena jioni nilienda kwa duka moja wakawa wanafungasha kufunga nikawa nataka kununua bidhaa wakaniambia hatuuzi mda wa kufunga umefika.
Sasa mimi swali langu hawa wafanyabiashara wa Tanzania ni kuwa wametosheka hela sana au hawajui biashara manake mie nafikiria kama nikiwa mfanyabiashara siwezi hata siku moja kumkataa mteja eti kwa sababu mda wa kufunga au kufungua bado kwa staili hii tutaendelea kuachwa mbali na wenzetu sana tusipobadilika.
Kuna wakati nilienda duka fulani kununua vitu ambavyo nauhakika ningemwingizia kipato kama mteja nilifika pale asubuhi nikakuta wamefungua nusu nikiwa na maana wahusika wote wapo lakini wamefungua grill tu kiasi cha kwamba unaweza kuwaona wahusika wote nikaulizia ile bizaa niliyokua naihitaji wakaniambia ipo lakini mda wa kufungua duka bado unaweza kusubiri nikawasisitiza kwa vile nilikua na haraka wakakataa nikaona isiwe shida nikaenda duka lingine nikanunua.
Hivyo hivyo ilishawahi kutokea tena jioni nilienda kwa duka moja wakawa wanafungasha kufunga nikawa nataka kununua bidhaa wakaniambia hatuuzi mda wa kufunga umefika.
Sasa mimi swali langu hawa wafanyabiashara wa Tanzania ni kuwa wametosheka hela sana au hawajui biashara manake mie nafikiria kama nikiwa mfanyabiashara siwezi hata siku moja kumkataa mteja eti kwa sababu mda wa kufunga au kufungua bado kwa staili hii tutaendelea kuachwa mbali na wenzetu sana tusipobadilika.