Swali kwa wahasibu au TRA

Swali kwa wahasibu au TRA

Saint Ivuga

JF-Expert Member
Joined
Aug 21, 2008
Posts
54,762
Reaction score
59,204
Kuna mteja wangu anataka kuingiza pesa kwenye business account yangu kutoka Canada.

Je vipi tra wanaruhusu?
Nitakatwa kodi?
Nitakaywaje?
 
TRA wanaruhusu, kodi haikatwi maana inaingia moja kwa moja kwenye account yako. Chek na bank yako wakupe swift codes na other details
 
Anataka kuweka hela kam nini Loan au grants au ananunua share
 
Back
Top Bottom