Swali kwa Wana-CHADEMA kuhusu vipindi vya uongozi katika chama chenu

Swali kwa Wana-CHADEMA kuhusu vipindi vya uongozi katika chama chenu

mockers

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2013
Posts
12,843
Reaction score
35,442
Swali maalum kwa makamanda.

Wanachadema naomba muongozo wa katiba yenu, je vipindi vya uongozi hasa mwenyekiti ni miaka mitano, kumi, ishirini, thelathini au ni milele hadi kifo?

Tuelewesheni ili tuelewe huko uongozi ukoje maana vyama vingine tumeona mtu kapiga miaka kumi anastaafu sasa kwenu ikoje?

Na je mnaifuata katiba yenu kweli au ndio Bora liende tu tia maji tia maji?
 
Chama kimegubikwa na UmangiMeza, Mbowe ni wakati wa kumuachia Hatamu Jemadari Lissu.
 
Kasome katiba ya CHADEMA usipoelewa une tena,acha kutusumbua.
 
Mbowe ni Muhuni aliejitenga na wenzie, iko kiti amwachie Baba wa Ukweli TL.
 
Swali maalum kwa makamanda.

Wanachadema naomba muongozo wa katiba yenu, je vipindi vya uongozi hasa mwenyekiti ni miaka mitano, kumi, ishirini, thelathini au ni milele hadi kifo?

Tuelewesheni ili tuelewe huko uongozi ukoje maana vyama vingine tumeona mtu kapiga miaka kumi anastaafu sasa kwenu ikoje?

Na je mnaifuata katiba yenu kweli au ndio Bora liende tu tia maji tia maji?
Kawaulize wanaokulipa elfu 30 watakupa jibu! Chama hakikuhusu na wewe siyo mwanachama lakini unauliza kinafiki ili update nini?
Huu mradi wenu wa kubadili agenda za Korea na kuiongelea cdm zitawacost Sana ninyi na vizazi vyenu maana hao wanaokulisheni ujinga wa kutokuhoji juu ya raslimali zenu wakiingia Tena madarakani watawatupa Kama toilet paper na uchawa wenu utakosa nafasi!
 
Back
Top Bottom