Mponda Mponda
New Member
- Jan 29, 2013
- 4
- 0
Nawasalimia ndugu zangu na naomba kuuliza ili walio na elimu wanisaidie
Swali ni kuwa ninataraji kupata mkopo wa milioni 10 nami ninazo kama milioni tatu kibindoni.Pesa hizo nataka ninunulie gari aina ya Hiace nilitumie kama gari la usafiri kwenda na kurudi kazini lakini pia iwe inasanya abiria hapa Dar es Salaam,
mkopo huo narejesha ndani ya miaka minne, je wakubwa biashara hiyo ya kusanya abiria itanilipa au niachane na mpango huo ninunue gari tu dogo
Asanteni
Swali ni kuwa ninataraji kupata mkopo wa milioni 10 nami ninazo kama milioni tatu kibindoni.Pesa hizo nataka ninunulie gari aina ya Hiace nilitumie kama gari la usafiri kwenda na kurudi kazini lakini pia iwe inasanya abiria hapa Dar es Salaam,
mkopo huo narejesha ndani ya miaka minne, je wakubwa biashara hiyo ya kusanya abiria itanilipa au niachane na mpango huo ninunue gari tu dogo
Asanteni