Je kwanini mnaomba maisha marefu hapa duniani wakati Kuna maisha mazuri mbinguni Kwa baba , kwanini kifo kinaogopwa wakati ni njia ya kwenda Kwa baba kula Raha , kufurahi maisha mazuri yasiyo na dhiki
Imani za Mungu ziko tofauti. Wapo wenye kuamini:
1. Ukifa straight mbinguni au motoni au kwenye kibano kwanza mpaka unyooshe maelezo.
2. Ukifa unalemaa kaburini hadi ufufuo ndipo motoni au mbinguni.
3. Ukifa straight motoni au mbinguni.
4. Nk
Sasa Mkuu hapo huoni tu kwa nini watu wanamwamini Mungu na pia kuomba maisha?
Usisahau hata Yesu aliomba kikombe kumpisha na walioepushwa kifo, Mungu alisema kawaokoa kwa muda huo.
MK254, Mzee Kigogo, Moisemusajiografii au nasema uongo?