twambie sheria ipi inayoelekeza hivoUnless kama binti anasoma lakini kwa mujibu wa sheria kama binti hasomi sio kosa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
twambie sheria ipi inayoelekeza hivoUnless kama binti anasoma lakini kwa mujibu wa sheria kama binti hasomi sio kosa.
Unaruhusiwa kumuoa lakini kufanya mapenzi ni kuanzia miaka 18.
Usiniulize HOW, waulize watinga sheria...
Mtafute mwanasheria unayemwamini kuliko wote kisha muulize then uje tena ufute kauli yako.
Mtafute mwanasheria unayemwamini kuliko wote kisha muulize then uje tena ufute kauli yako.
Hapa ndio utaona sababu za watu wanaotaka maakama ya kadhi. Waisilamu wanaruhusiwa kuona vitoto vidogo maana hata mtume alioa kitoto cha miaka tisa. Ndio maana wanalalamika mfumo wa sheria wa sasa ni wakikristo kwasababu hauruhusu kuona vitoto
hahahahahahahahhaha umenivunja mbavu.
Kwani sheria za Tanzania kuoa inaruhusiwa kuanzia umri gani? Usitumie logic soma sheria, sheria na logic ni vitu viwili tofauti.
Unaruhusiwa kumuoa lakini kufanya mapenzi ni kuanzia miaka 18.
Usiniulize HOW, waulize watinga sheria...