SWALI Kwa WANASHERIA.. Kutembea Na 14years old girl ni Kosa..!

Unaruhusiwa kumuoa lakini kufanya mapenzi ni kuanzia miaka 18.

Usiniulize HOW, waulize watinga sheria...

Hapa ndio utaona sababu za watu wanaotaka maakama ya kadhi. Waisilamu wanaruhusiwa kuona vitoto vidogo maana hata mtume alioa kitoto cha miaka tisa. Ndio maana wanalalamika mfumo wa sheria wa sasa ni wakikristo kwasababu hauruhusu kuona vitoto
 
Mtafute mwanasheria unayemwamini kuliko wote kisha muulize then uje tena ufute kauli yako.

" unlawful sexual activity and usually sexual intercourse carried out forcibly or under threat of injury against the will usually of a female or with a person who is beneath a certain age or incapable of valid consent — compare sexual assault statutory rape" kaa umu kwnz kwny maana ya kubaka alafu niambie nahitaji kumuuliza mwanasheri au inatosha kwa msaada tutani nakazia hapa "with a person who is beneath a certain age or incapable of valid consent " naamaini binti alikua underage kwa tafsiri ya sheria ya Tz miaka 14 ss cjui km kwny mchakato w a katiba mpya mmebadilisha suala la umri km kuna sehemu haujaelewa niulize.
 
Mtafute mwanasheria unayemwamini kuliko wote kisha muulize then uje tena ufute kauli yako.

f.gives monetary consideration goods or other benefits to a child or his parents with intent to
procure the sexual for sexual intercourse or any form of sexual abuse or indecent exhibition or
show
commits the offence of sexual exploitation of children and is liable upon conviction to
imprisonment for a term of not less than five years and not exceeding twenty years. (2) in this section child means a person of the age of less than eighteen years. " km ww ni raia wa Tz bac sheria inasema ivi ukiacha mabadiliko na nyongeza ya kifungo yaliyopo ila km sio raia inawezekana kwenu kuna tofauti ila kwa kifupi tafsiri sahihi ya kubaka iko pana sn ucdhani ni kutumia nguvu tu na tukio la uyu binti km ni kwl kafanyiwa alivosema bac KABAKWA bd na vipengele vingine samahani cjafuta kauli kwani bado naamini niko sahihi unless u prove me wrong.
 
Hapa ndio utaona sababu za watu wanaotaka maakama ya kadhi. Waisilamu wanaruhusiwa kuona vitoto vidogo maana hata mtume alioa kitoto cha miaka tisa. Ndio maana wanalalamika mfumo wa sheria wa sasa ni wakikristo kwasababu hauruhusu kuona vitoto

hahahahahahahahhaha umenivunja mbavu.

Kwani sheria za Tanzania kuoa inaruhusiwa kuanzia umri gani? Usitumie logic soma sheria, sheria na logic ni vitu viwili tofauti.
 
hahahahahahahahhaha umenivunja mbavu.

Kwani sheria za Tanzania kuoa inaruhusiwa kuanzia umri gani? Usitumie logic soma sheria, sheria na logic ni vitu viwili tofauti.

ZeMarcopolo,
Wewe kama mtaalamu wa sheria siuzikweke hapa na sisi tuzisome. Mimi ninachoseme nikwamba ukiangalia dini ya kiislam hata kuoa mtoto wa miaka tisa ni halali. Tatizo bongo watu wanafanya vitu kwa siri. Kipindi story ya Mwinyi kuoa mtoto wa shule ya jangwani haikuandikwa kwenye magazeti ilikuwa ni usiri mtupu. Sasa mimi navyofahamu arusi ni kitu kizuri. Na waafrika tunatabia ya kusheerekea. Sasa inakuaje raisi wanchi anaoa alafu inakuwa siri? . Alafu sasa mnataka mahakama ya kadhi sindio kwaajili ya kuahalalisha hivi vitu kisheria
 
Mbaya zaidi kamanda Suleiman Kova anaiita jinai ni swala binafsi, hili linakera. Katika jeshi hakuna cheo bali majukumu na majukumu haya huendana na weledi wa mhusika, kwa hadhi ya CP nilitegemea afande Kova ni mtu wa weledi wa hali ya juu na pasipo shaka anaitambua The Sexual Offences Special Provisions Act(1998) ambayo inatamka kuwa hakuna ridhaa ya binti wa chini ya miaka 18 sembuse mwanafunzi kufanya mapenzi na mwanamume yeyote yule and specifically mazingira yanayosimuliwa katika mkasa mzima wa ndugu Kapuya. Sheria hii inaondoa hali zote za ridhaa ya wawili na kutamka kuwa ni ubakaji. Kamwe ubakaji haujapata na hautapata kuwa ni swala binafsi. Si kuwa nasema pasipo shaka kwamba ndugu Juma Kapuya mbunge wa Urambo ya Magharibi na profesa wa botania amembaka binti wa miaka kumi na minne(14), hapana, ninachokisema ni kuwa jeshi la polisi litimize wajibu wake wa kuchunguza jinai kwa mamlaka lilopewa ili haki si tu itendeke bali pia ionekane kutendeka.
 
Unaruhusiwa kumuoa lakini kufanya mapenzi ni kuanzia miaka 18.

Usiniulize HOW, waulize watinga sheria...

This was one of the most interesting issues nilikutana nalo chuoni.

Unless kama sheria imeshafanyiwa mabadiliko, ilikuwa kuwa kisheria mwanaume angeweza kumwoa mtoto wa miaka 13 kwenda juu kama sijakosea.

Wakati huo huo ilikuwa ni kinyume na sheria kujahimiana na mwanamke aliye na miaka 17 kushuka chini.

Sasa issue ikawa kama mwanamke mwenye umri wa miaka kati ya 13 na 17 akiolewa, mumewe atakuwa ametenda kosa kama akijahimiana nae?

Je kama mwanamke akikataa na kusubiri hadi afike miaka 18, mwanaume anaweza kuomba talaka kwa kunyimwa tendo la ndoa?
 
Kama inaingia tu, na aliyepuywa papuchi haijaharibika..... Hakuna kosa la upuyaji!!!!



Mbona Zanzibar vibinti vinavyosoma primary na sekondar ni ruksa kuolewa!!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…