utatundikiwa dripu 😂Kidogo tu Kwa mbali jaman
shika yako yangu yatakuponza 😂 😂🤣🤣🤣 Usifanye ivo bhana...nashika pembeni tu...si unajua Kuna muda ikikolea inabidi kukandamiza kidogo...sasa nitashika wapi?
ngoja nisiseme zaidi naomba niishie hapa maana uliaga 😂Yaan hapa tu nina moto balaaa....sichezagi ovyo sector hii aisee
Awe mafuta ama awe kaukau freshy tu ilimradi tu awe na haiba ya kike asilia.Je, mama mjengo(mke) unapenda mwenye Mwili wenye mafuta au kaukau?
Na kwanini?
Bado sijakomaa akili kuweza kuhandle changamoto za ndoa ndio maanaNilikuambia unioe ulikataa.....Kaa ivoivo mpaka ijikunje
Wakati wake ukifika nitakutafta Kama bado utakuwa availableYeah sure...Kila jambo na wakati wake
Kwan vikongwe hawaolewi?Nitakuwa nishazeeka na wajukuu kabisa
The nearer the bone,the sweeter the meatNyama ya mfupa hua ni tamu kuliko steki,
Bila shaka tumeelewana au sauti haitoshi niongeze?