Calnde
JF-Expert Member
- Oct 7, 2008
- 1,373
- 278
saaana, we poteza kujifanya humegi wenzako ndo tunamega.
watoto wa mjini tunasema WEWE SHIKA PEMBE SISI TUKAMUE MAZIWA!.
mmmh. . . Too bad. God forbids
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
saaana, we poteza kujifanya humegi wenzako ndo tunamega.
watoto wa mjini tunasema WEWE SHIKA PEMBE SISI TUKAMUE MAZIWA!.
Point of correction,
Si wanaume wote wapo hivyo> wengine tuu waaminifu kabisa. Na kabla hujalalamika mmeo anatoka nje jiulize kwanza uone kama unawezapata even hypothesis
Mchanga mtu wangu. kama haujakolea sana maji tu yatoshaila nini??.
na je mkeo unauhakika gani kama hajamegwa??, ukimegewa nawe mega wa mwenzako, we jifanye mlokole tuu.
jamani ushauri mwingine balaa tupu
kuna watu kweli wana ushauri utafikiri waganga wa kienyeji, karne hii kweli unamshauri mtu acheat!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Mpwa hajui yule. The opposite is the truth kwenye hili. Kama wewe humegi basi ujue unamegewa! Unatuona tunaomega hatuna akili? Kalaghaboho!