Swali kwa wanawake: Ni umri gani mwanaume akifikia kama hajaoa hawezi kuoa tena labda awe na pesa nyingi?

Hela hazina Cha vijana wa la wazee Wala hazina uhusiano na six pack mbona wezee wengi ni choka mbaya au nao walikuwa wavaa mtepesho?

Vijana wenye waowezeshwa na wazee wao wapo mpaka leo
 
Fanya upya uchunguzi wako kijana, wadada hawapendi watoto wenzao.

Wengi wanaamini mwanaume akiwa above 30 anajitambua na yupo tayari kuoa, katulia na sida kama hizo ila umri huo ndio wanaume wengi wanakua tayari washaoa.

Yaani miaka 36 ukataliwe na bint wa miaka 22, miaka 22 ujue ni binti mkubwa na huenda kimuonekano mkaendana.
 
Kuoa na kuolewa ni muda wowote, tatizo linakuja kwenye kuzaa.!!

Mwanaume yeye hata akizeeka ana uwezo wa kumpa mwanamke ujauzito, tatizo lipo kwetu wanawake tunapenda kuolewa mapema ili tuzae sababu sisi ndio waendaji leba na walezi..!! Sasa ukizeeka huo muda ukibeba mimba matatizo ya kiafya ni mengi..!!

Kwenda leba ukiwa kibibi na kitumbo hata hainogi kiukweli 😹😹😹
 
😁😀😜🙂😍😜! Mimi na beibi yangu nimemzidi saana miaka! Siku kajifungua niko nje nasubiri, nesi ananishangaa "ulimdanganya na nini huyu binti" 😁😁
 
Nimeoa nikiwa na miaka 42, Tena nimeoa Binti wa miaka 19. Sina hela Sina chochote Cha maana. Binti ametulia, wamesemaaaa weee mpaka wamechoka. Binti kaweka pamba masikioni. 2020 kanipatia Dume na mwaka Jana kaniletea jike! Sijatumia ndumba Wala nini! Ukizaliwa wa kiume unatakiwa ujiamini.
 
Nijibu na mimi, “Ulimdanganya nini huyo binti mpk akakubebea mimba?” 😜
Wakati ulifika nikataka kuoa kwa sharti awe ni yule nitakayesema "naaaam" nakwambia! Nilikuwa sikauki makusanyiko ya totooz za udsm! Wakati wa jioni kula canteen! Graduation! Mida ya jioni wanatoka kujisomea! Huyu nilimbananisha jioni anaenda hosteli za Magufuli nakaribu na viwanja vya mpira/swimming pool! Kwakweli nilikuwa nimejipanga! Sikuwa mnyonge! Siku hiyo niliambulia! "Mimi sikujui"! Mara ya pili sehemu hile hile nikamwambia "siku ya leo utakuwa unanijua" akasema "yeah!" Nikamwomba namba akanipa ndo hapo "kwishney". Nilifuata taratibu zote na kuozeshwa kihalali kabisa! Sasa hivi tuna furaha kama zoote! 😍😛
 
O Oya kizuri, kula na mwanao hapa baba usitufanyie hivo wanao
 
Mwanaume akiamua kuoa ataoa tu, sio hata mpaka awe na pesa nyingi utayari wake tu wa kuoa na uwezo wa kuhudumia familia. Mwanaume anaweza kuoa kwa umri wowote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…