Swali kwa wanawake: Ni umri gani mwanaume akifikia kama hajaoa hawezi kuoa tena labda awe na pesa nyingi?

Swali kwa wanawake: Ni umri gani mwanaume akifikia kama hajaoa hawezi kuoa tena labda awe na pesa nyingi?

Dogo uwe unaudhuria vikao vya wanaume. Mambo hayo tushayasema sana kwenye vikao.

Kwakukusaidia tu bwana mdogo, MWANAUME HATA UWE KIWETE,UWE CHONGO, UWE KIBAMIA,UWE UNATEMBELEA MACHELA AU MKONGOJO AS LONG AS UNAPIGA MASHINE NA UNAKIBUNDA WANAWAKE HAWANA BAYA.

TAFUTA HELA!!!TAFUTA HELA!!! Uwe unabutua madubwana kama HARMONIZE.

#Kataa ndoa,ndoa ni utapeli!!!
 
Mwanaume hana sexual market based pn his age but his money. Tafuta hela Jombaa ata ukiwa 50 utawabutua sana
 
Kijamii, kijana wa miaka 18-25 bado hatizamiwi kuoa, kila mtu atamshangaa na hata wengine watamkataza sababu anakua bado hajakomaa kiakili na kiuchumi, mwanaume ni provider,

Kijamii, binti wa miaka 18-25 anaolewa vizuri kabisa binti huyu anakubalika kuolewa sababu kwanza anaenda kutunzwa na mumewe pili apate uzao wake mapema maana akifikisha miaka 36 changamoto za uzazi zinaanza,

Kijana akiwa na 35+ na bado hana muelekeo hua ni ngumu sana kuoa labda atumie uongo au binti ampende kisawa sawa, binti wa miaka 22 yupo radhi aolewe na mtu mzima wa miaka 50 ambaye tayari ana muelekeo wa kimaisha kuliko kuolewa na kijana wa miaka 30 ambae anasota na bahasha kutafuta kazi.
 
Never date mwanaume WA miaka 45 na kuendelea .tena ukute kaachika
Labda mkewe awe alikufa
Au awe na hela kabisaa.ila kama anajitafuta kimbia
Mkuu umri haugandi, je na wewe ukifikisha 45+ unatakiwa usisogelewe na vijana ama kuoleka?
 
Mwanaume hana kikomo, yani ni kama mbowe tu..... Kwahiyo wanaume wote ni mbowe.
Katika wasenge.. na wewe ni msenge..
Namaanisha unatokea sengerema maana sio kwa hizi akili mingi ulizonazo..

Jamaa limekaa tu yaani utadhani vile CHADEMA ni mali au biashara ya nyumbani so wengine wanatakiwa waiangalie tu na kuishia kumeza mate tu.. ni tatizo tu Mono-Economy ya nchi yetu..
Mfano hapo Daslamu ukiwa na B tano tu akaunti utajulikana ile mbaya since tu hauko kwenye kale kasaiko kalikozoeleka..

Hii mikoa mingine unaweza shangaa unaimbwa hata ukifungua tu kabiashara ka 50M.
Ndio taifa la Ujamaa sasa tutafanyaje kwani?
 
Oa ukiwa kijana usidanganywe
Kuna umri wa kufaurahia maisha
Kuna umri wa kufurahia mapenz hasa wakat wa ujana hiv unaona una miaka 50 unaweza kumwambia mkeo vaa sex si atakuona mwendawazimu 😀akili muda huo inawaza maisha tu na Hela
Oeni mkiwa vijana mfurahie mapenzi mkifika uzeeni mnalea zenu wajukuu
 
Kwa wanaume hamna kikomo, umri wowote unaoa vizuri tu, changamoto ni kwetu wadada najiona kabisa nikizeeka...😀 na ukisema tu uko 3rd floor watu wanakuona kama bibi kabisa
Hahaha,Badilisha na mazingira mkuu..Hata kwa mwanamke japo chance inakua finyu ila kwenye 3rd floor kama ukiwa chini ya 35 bado bahati inakuwepo.
 
😁😀😜🙂😍😜! Mimi na beibi yangu nimemzidi saana miaka! Siku kajifungua niko nje nasubiri, nesi ananishangaa "ulimdanganya na nini huyu binti" 😁😁
Kwani umemzidi miaka mingapi mkuu?
 
Mwanaume Hana expire date
Na actually wadada wengi tunavutiwa na wanaume kuanzia 35 na kuendelea
Halafu pia kikawaida mwanaume anaanza kukua kiakili kwanzia miaka 35 chini ya hapo huyo ni mvulana bado
Awe na hela lakini
 
Mwanaume Hana expire date
Na actually wadada wengi tunavutiwa na wanaume kuanzia 35 na kuendelea
Halafu pia kikawaida mwanaume anaanza kukua kiakili kwanzia miaka 35 chini ya hapo huyo ni maulana bado
Awe na hela lakini
Hamvutiwi na hao wanaume ila mnavutiwa na pesa zao kwakuwa wengi wao wanakuwa washajibata
 
Mwanaume anaoa mda wowote anaojisikia au anaoutaka yeye Kwa wanawake kimbembe kipo hapo utatafuta wa kukuoa umri unaenda uzee huo
Si kweli, labda uwe na hela ndo utaoa muda wowote!
Ukiwa huna hela mwanamke anakuona tàkataka tuu.
 
Back
Top Bottom