Huna hoja zaidi ya chuki za kidiniSijui kama umesoma hoja yangu vizuri,
Ndio maana nimeuliza Je ni Sawa Adhana kuwa saa Tisa na nusu?
Yan watu wote tuamke kila saa Tisa usiku? Kila siku?
Why isiwe saa 11?
Kuanzia saa Tisa mtu anaongea for 10mn ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huna hoja zaidi ya chuki za kidiniSijui kama umesoma hoja yangu vizuri,
Ndio maana nimeuliza Je ni Sawa Adhana kuwa saa Tisa na nusu?
Yan watu wote tuamke kila saa Tisa usiku? Kila siku?
Why isiwe saa 11?
Kuanzia saa Tisa mtu anaongea for 10mn ?
Nimakosa. hakuna adhana ya satisaAisee mtaani kwetu bwana msikiti umepata vifaa vipya
Yan wanaanza saa Tisa nanusu
Mpaka saa 11,
Ni umri kama wa mumeoUlisoma umri wa kujiunga JF?
Sijui kama umesoma hoja yangu vizuri,
Ndio maana nimeuliza Je ni Sawa Adhana kuwa saa Tisa na nusu?
Yan watu wote tuamke kila saa Tisa usiku? Kila siku?
Why isiwe saa 11?
Kuanzia saa Tisa mtu anaongea for 10mn ?
That is noise pollution for sure.Kweli kabisa wale ni wa kwenda kuwambia
Haiwezekani tangu saa Tisa na nusu mtu haulali mpaka saa 11
Yan ni full makelele, amkaaaa amkaaa amkaaaa aah too much
It is also noise pollution.Lengo la mtoa mada si kujua muda wa adhana, Bali ni kuibua kejeli za kidini! Haya jifurahishe!
Kisha utuambie sala ya Jumapili ni saa ngapi maana hapa kwangu ni makanisa ya mabati 6. Kuanzia Ijumaa usiku mpaka Jumapili jioni ni makele ya kukoroma kuchoma moto madhabahu na malango!
Hivi malango ni Kiswahili Cha wapi?
Kisheria inakuwa saa ngapi?na makanisa ya kilokole mtaani kwann wanalia usiku kucha na vyombo vya makelele ya mzikiChuki ya kidini iko wapi hapo ? So ulitakaje tusiulize kujua utaratibu?
Wewe unaona ni Sawa Adhana kuwa saa Tisa na nusu?
Huu ni wakati wa kusema ukweli makafiri ya kiisiharamu na kikristo yote mpigwe marufuku mnatuletea upumbavu tu wa unafiki...tumechoka unafiki wenuSawa,ibakie dini inayoruhusu mphilannne
Kisheria inakuwa saa ngapi?na makanisa ya kilokole mtaani kwann wanalia usiku kucha na vyombo vya makelele ya mziki
Jamani mbona watu wanalala tu hata hao waislamu wanaoenda kuswali alifajiri ni wachache sana, wengi wanaendelea kulala hata wakisikia adhana.
Mimi hata uweke mziki mkubwa hapo nje usingizi ukija nalala tu
Tuache visa ndugu zangu, mbona makanisa na bar huwa yanakesha usiku kucha hakuna anaye lalamika