Ruhazwe JR
JF-Expert Member
- Jan 31, 2011
- 3,402
- 925
uwekezaji mzuri unatakiwa uwe na faida walau asilimia ngapi kwa mwezi?
Wasalamu!
nadhani swali langu litakuwa limeeleweka.Ningependa kujifunza kupitia kwa watalaam wanao pitia katika jukwaa hili;kwa ufafanuzi tu, ni upi uwekezaji mzuri katika kutoa faida?. mfano; umeanzisha mradi ambao unaghalimu 1,500,000/= je unatakiwa uzalishe walau kiasi gani cha faida kwa mwezi?
Je ukiwekeza kwa mfano 1,500,000/= ukazalisha karibu faida ya 100,000= kwa mwezi inafaa kuwa uwekezaji mzuri?
Wasalamu!
nadhani swali langu litakuwa limeeleweka.Ningependa kujifunza kupitia kwa watalaam wanao pitia katika jukwaa hili;kwa ufafanuzi tu, ni upi uwekezaji mzuri katika kutoa faida?. mfano; umeanzisha mradi ambao unaghalimu 1,500,000/= je unatakiwa uzalishe walau kiasi gani cha faida kwa mwezi?
Je ukiwekeza kwa mfano 1,500,000/= ukazalisha karibu faida ya 100,000= kwa mwezi inafaa kuwa uwekezaji mzuri?