Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa ngaz ya mshahara ya tgts e. Nkihitaji m 15 crdb ntapata? Naomba kujuzwa
Kama ni fixed deposit, utapata up to 80% ya hiyo amount, which will serve as collateral.
Mkuu benki gani wanatoa gawio la 80% kwa fixed deposit?? na kwa muda gani?
Can u speak with figures coz nashindwa kuelewa ukisema up to 80% ya hiyo amount
Tuseme ndo nina 10 million....
Kasema mkopo sio gawio, ina maana anakopa against FDR
Unaweza kupata mkuu kama utachukua 12m. TGTS E utakuwa unacheza katikati ya laki 7+ mpaka 9+. Kwa kawaida malipo ya mwezi au makato kwenda kwenye mkopo sharti yazizidi asilimia 60% ya mshahara. Tuchukulie unapata 1m utaruhusiwa kukopa kiasi ambacho utalipa kiwango cha juu laki nne hii sheria kaka ya utumishi.
Sasa kama utalipa laki nne 40% kila mwezi kwa miezi 12 ni 4.8m. Kawaida mkopo kwa mtumishi wa fasta usio na kwere ni miaka mitatu hivyo ukikopa 12m na riba ya 18% itakuwa 13.8 pamoja na riba,bima tuchukulie 500k iwe 14.3. Hiyo 14.3 utaweza ilipa kwa miaka mitatu kwa makato ya laki 4 kila mwezi kwa miaka 3. Nenda kakope kaka kamata mpunga huo. Hiyo ni kikokotozi cha Reduced balance method ambacho crdb wanakitumia sana.
Ninashukuru sana kiongozi
Mkuu benki gani wanatoa gawio la 80% kwa fixed deposit?? na kwa muda gani?
Unaweza kuweka pesa Fixed accoint upokee Riba kidogo tena ukakope bank huku utalipa Riba kubwa? kwa nn usichukue hiyo pesa uliyoweka Fixed ukafanyie mambo yako???
mfano fixed utapokea riba ya asilimia 3% wakati ukikopa utatozwa riba ya asilimia 18% tofauti 13%
think again!!!
Unaweza kuweka pesa Fixed accoint upokee Riba kidogo tena ukakope bank huku utalipa Riba kubwa? kwa nn usichukue hiyo pesa uliyoweka Fixed ukafanyie mambo yako???
mfano fixed utapokea riba ya asilimia 3% wakati ukikopa utatozwa riba ya asilimia 18% tofauti 13%
think again!!!
Ndugu wadau kama ukiwa na Tshs 10 Million, unaweza kuitumia benki kupata mkopo? (Ikatumika kama collateral), Kama jibu litakua sio hapana, Je unaweza kupata mkopo hadi wa Tshs ngapi?...
Msaada tafadhali kwa mwenye hufahamu.
hapo unacheza na hesabu! kukopa bank kwa kutumia fixed deposit kama colateral ni sawa na kujikaanga kwa mafuta yako mwenyewe!
jibidiishe upate elimu ya uelewa wa mambo ya kifedha, biashara za kibongo bado hazijawa regulated zina, nyingi zina return kubwa kubwa tu, kwa hiyo it makes sense kukopa kufanyia biashara hizo against a fixed deposit as a collateral
Haileti maana yoyote kama fedha unayopata kutoka benki ni ndogo kuliko collateral unayoweka