Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kama ukiweka fixed deposit ya high yield unapata riba ya 12%, assume umedeposit millioni 50. Then unakopa 40 million at 18% unafanya biashara inayokupa return ya above 30%, umekosa nini?
pesa unayo mkononi.. unaogopa kuitumia unaiweka bank fixed halafu hapo hapo unakopa bank kwa riba kubwa?
why usitumie pesa yako kufanya mambo yako... unajibebesha madeni yasiyo na msingi wakati hela unayo
So unapoteza (18-12) 6% bila sababu yoyote, kwanini uiweka hiyo 50 mil benki na kisha kuchukua mkopo wa 40? Kwanini usinguchukua 40 out of hiyo 50 yako ukaitumia kwenye biashara then ukaweka 10 benki?
Situation ambayo kuchukoa mkopo against fixed deposit inaleta maana ni kwenye dharula, kwa mfano una 50 mill fixed deposit bank ikatokea dharula ukahitaji 40 mil, lakini baadhi ya fixed deposit account haziruhusu kuchukua hela zako kabla ya mda wa makubaliano bila kulipa faini, so kama fixed deposit yako ni ya 1 year ukichukua kabla ya hapo kuna penalty fee unapigwa. Hapa ndo ina make sense kuchukua mkopo badala ya kutoa hela zako kwa kuwa kunakuwa hakuna penalty.
Yote haya yanategemea hiyo penalty ni kiasi gani na riba za fd/loan ya fd/loan ya kawaida of course.
huwezi kupata 10 million high yield fdr