Dawa ni kama MTU anaumwa anapewa ili iweze kumtibu ugonjwa wake..... Na chanjo hii ni kinga dhidi ya ugonjwa fulani mtu anapatiwa kabla hajapata ugonjwa husika mfano... Polio,bcg, ant rabies( ya kichaa cha Mbwa) hizi ni chanjo... Dawa ni Kama PCM.metro..