Kichankuli
JF-Expert Member
- Dec 18, 2008
- 887
- 190
Salamu wana JF.
Hivi Chanjo ni dawa au ni kitendo?
Mimi nilikuwa naaelewa kuwa ni kitendo lakini majuzi nimemsikia Waziri wa Afya akisema kuwa Serikali imeagiza Chanjo, nikatatanika.
Nasubiri jibu.
Shukran
Hivi Chanjo ni dawa au ni kitendo?
Mimi nilikuwa naaelewa kuwa ni kitendo lakini majuzi nimemsikia Waziri wa Afya akisema kuwa Serikali imeagiza Chanjo, nikatatanika.
Nasubiri jibu.
Shukran