MmmmmhMmeshindwa kuhoji wakati ripoti inasomwa, unakuja kupiga mayowe huku. Unatarajia utapata majibu?!
Mwanachama hai wa Simba?Au gongo wazi in disguise.Kwa sababu kwenye maelezo yako umedai wanaitetea Simba kwa hiyo wewe sio mmoja wao!
Ndo nusu auSimba imeingia mkataba na M bet June 2022, ripoti imetolewa Jan 2023, unataka waweke mapato ya muda gani ?
Naona kuna mtu ame like comment yakoMwanachama hai wa Simba?Au gongo wazi in disguise.Kwa sababu kwenye maelezo yako umedai wanaitetea Simba kwa hiyo wewe sio mmoja wao!
Hivi mapato na matumizi ya Utopolo unaweza kuyaweka wazi?GSM wameuza jezi ngapi?Klabu imeingiza nini?Oh my mistake siku hizi Utopolo ni kampuni tanzu ya GSM hivyo hakuna mahesabu.
Ukimtoa Hersi viongozi wengine ni akina nani wenye kusimamia maslahi ya klabu?
Halafu atasingizia mpiga kelele ni yanga🏃Mmeshindwa kuhoji wakati ripoti inasomwa, unakuja kupiga mayowe huku. Unatarajia utapata majibu?!
Yaani ujuaji mwingine aibu..Kwani ni oazima iwe exactly 50%ikizidi.kuna kosa gani?Watu wameanza kuwatetea Simba juu ya sintofaham ya mapato ya timu hiyo kama yalivyolipotiwa leo kwenye mkutano mkuu. Sintofaham hiyo inatokana na utofauti wa kiasi cha fedha kutoka kwa M-bet ambapo imeripotiwa Tsh 2.5m tofauti na 4.67 iliyokuwa ipokelewe kutoka kwa mdhamini huyo kwa mwaka wa kwanza.
Baadhi ya watetezi wanasema kuwa kilichoripotiwa (2.5m) ni fedha ya nusu mwaka. Swali ni: je nusu ya 4.67m ni 2.5???
Sent from my SM-A307FN using JamiiForums mobile app
Mdau wa Soka mbumbu mbu wa masuala ya Fedha na bajeti!
Kwa akili yako utaendelea kubaki maskini na utakuwa maskini kwelikweli. Huna unalojua kuhusu masuala ya usimamizi wa fedha kitaalamu.Watu wameanza kuwatetea Simba juu ya sintofaham ya mapato ya timu hiyo kama yalivyolipotiwa leo kwenye mkutano mkuu. Sintofaham hiyo inatokana na utofauti wa kiasi cha fedha kutoka kwa M-bet ambapo imeripotiwa Tsh 2.5m tofauti na 4.67 iliyokuwa ipokelewe kutoka kwa mdhamini huyo kwa mwaka wa kwanza.
Baadhi ya watetezi wanasema kuwa kilichoripotiwa (2.5m) ni fedha ya nusu mwaka. Swali ni: je nusu ya 4.67m ni 2.5???
Sent from my SM-A307FN using JamiiForums mobile app
Mambo yanayo fanywa na Viongozi wa Simba huitaji elimu ya darasani kujua ni upuuzi.Kwa akili yako utaendelea kubaki maskini na utakuwa maskini kwelikweli. Huna unalojua kuhusu masuala ya usimamizi wa fedha kitaalamu.
Nikikuuliza haya katika utoaji taarifa za hesabu za fedha utajibu nini?
Amortization
Cash flow projection
Financial position
Liquidity
Financial Statements na kanuni zinazosimamia uandaaji wa financial statement.
WaTanzania walio wengi ila sio wote ni wajinga na wapumbav wanajifanya kujua kila kitu pasipokujua hawajui. Tumbaf kabisa[emoji36][emoji36]
Kwa mfano hili la M Bet
Wewe unajua makubaliano ya mkataba Simba atapokea kiasi gani kwa mwezi? Je unatambua mkataba ulianza lini? Je wanajua hiyo hizo pesa Simba wamepokea hadi mwezi gani? Je, hiyo taarifa inaishia mwezi gani? Maana usije tu ukadhani wameandaa usiku na kesho yake kwenda kusoma. Hiyo taarifa inaandaliwa na wahasibu, inaidhinisha na CEO na kukaguliwa na mkaguzi wa ndani kama yupo. Mwisho ni lazima ipelekwe board wajumbe waipitie na mwenyekiti wa bodi aidhinishe. Zile hesabu za mwisho wa mwaka ni lazima zikaguliwe na wakaguzi wa nje na kuidhinishwa mfano, KPMG nk.
Msiyoyajua bora mkaage kimya kuficha ujinga wenu.
Simba wapo sahihi
700 bil mkiambiwa hamna akili ila wawili tu mnakuja juu.Huyu hapa mwingine.Hajui hata hesabu za darasa la nne.Ripoti ni ya mwaka mzima iweje wasome hesabu za nusu mwaka?
Hata Vunjabei mkataba wake unaisha mwaka huu ila wanasema kuwa katoa 700bil, kwa vigezo gani haijulikani
SawaYaani ujuaji mwingine aibu..Kwani ni oazima iwe exactly 50%ikizidi.kuna kosa gani?
Umepania sana700 bil mkiambiwa hamna akili ila wawili tu mnakuja juu.Huyu hapa mwingine.Hajui hata hesabu za darasa la nne.