Swali kwa wote, hivi unaweza kuwa na rafiki wa karibu na mume wa mtu au mke wa mtu bila kuwanaye kwenye mahusiano ya kimapenzi?

Hivi ukimuona mwanaume ambae sio ndugu wa mkeo ameunga urafiki mpaka wanasaidiana wew unafikiriaje kichwani mwako,,,,binafsi siwezi ruhusu huo ujinga yaani kati ya marafiki wote achague wakiume??siku mkikosana ataenda kumusimulia alafu jamaa anaanza kumfariji mwisho anapigwa mbususu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…