hapo inategemea na nilivyoamka siku hiyo kama nikiwa na hasira na bunduki karibu ningeua, na kama nimeamka vizuri ningemrudisha kwao kwa amani mpaka hapo atakapokuja kuomba msamaha ila inategemea na situation niliyoamka nayo siku hiyo maana inategemea sana na situation siwezi kusemea kabla hayajatokeaMimi ningependa tu kuwauliza kina kaka mloisoma hadithi ya Mwanajamii opssssssssss Mwanakijiji. Je kama wewe ndie ungemfuma mkeo alilimwa na shamba boy kama Waziri alivyokuwa anafanya kwa housegirl. Na kama ungekuwa huna option ya kumwacha, kumpiga ungechukua uamuzi gani na hasira yako??
halafu nyumba ndogo ukiiambia unegombana na mkeo ndio inazidisha manjonjo ili kukupunguzia machungu. Hivi hizi nyumba ndogo sijui zinapitiaga kozi maana wana utaalamu mkubwa sana unaweza ukakuta majogoo yanawika hujarudi home. Ndio maana me nikiona nyumba ndogo inataka kuniteka akili naimwaga natafuta nyingineai wishi mke wangu angekuwa na akili kama zako......NINGEHAMIA TABATA-MAWENZI kwa nyumba ndogo yangu mtoto SALIMA....DAH!
mke wangu nikipiga infidelity ye ndo anaongeza manjonjo kwenye chakula cha usiku!
ai wishi mke wangu angekuwa na akili kama zako......NINGEHAMIA TABATA-MAWENZI kwa nyumba ndogo yangu mtoto SALIMA....DAH!
mke wangu nikipiga infidelity ye ndo anaongeza manjonjo kwenye chakula cha usiku!
mi akinibore sana hasa wa mambo ya infidelity lazima anyimwe hata miezi kadhaa!
hehehehe!principle yako nimeipenda sana!mi ninayo mojoa ipo hapa maeneo ya mabibo,dah!inasumbuaga sana akili angu.....halafu nyumba ndogo ukiiambia unegombana na mkeo ndio inazidisha manjonjo ili kukupunguzia machungu. Hivi hizi nyumba ndogo sijui zinapitiaga kozi maana wana utaalamu mkubwa sana unaweza ukakuta majogoo yanawika hujarudi home. Ndio maana me nikiona nyumba ndogo inataka kuniteka akili naimwaga natafuta nyingine
halafu nyumba ndogo ukiiambia unegombana na mkeo ndio inazidisha manjonjo ili kukupunguzia machungu. Hivi hizi nyumba ndogo sijui zinapitiaga kozi maana wana utaalamu mkubwa sana unaweza ukakuta majogoo yanawika hujarudi home. Ndio maana me nikiona nyumba ndogo inataka kuniteka akili naimwaga natafuta nyingine
sasa hapa si ndo ume-endorse infidelity moja kwa moja??
hehehehe!principle yako nimeipenda sana!mi ninayo mojoa ipo hapa maeneo ya mabibo,dah!inasumbuaga sana akili angu.....
hivi imeshanitext kuwa lanchi tayari...
ngoja niwashe tukutuku nipite famasi kabisa nikabebe zana nijipindue uswazi maanake dah
LONG LIVE INFIDELITY!
@Mom kumnyima unyumba ni suluhisho?? M ie bora tuyazungumze tu kama yanazungumzika ikishindikana na-seal moja kwa moja biashara inaisha.
uzuri ni kwamba hawa jamaa uwanyime usiwanyime, wakitaka kufanya nje wanafanya tu!!!
Hivi inakuwaje unyumba utumike kama 'silaha'? Mimi nilidhani katika tendo wote mnaenjoy na si mwanaume pekee! Na kama wote mnaenjoy ukimnyima mwenzio kwa siku kumi na wewe si unakuwa umekosa kwa siku kumi? Au unyumba ni muhimu kwa wanaume peke yao?
Kwa maoni yangu, kutumia unyumba kama silaha ni kujishusha hadhi kama mwenza katika ndoa na kujiweka kama mtumwa/msaidizi (ni kama vile mfanyakazi anapogoma kufanya kazi ambayo kwayo aliajiriwa kuifanya!).
kaka ukiona inakuganda sana imwage tafuta nyingine, siku hizi ziko nyingi sana mpk zimeanza kujitongozesha kwa mfano mm hapa nina mademu kama watatu hivi wako pending nasubiri nianze kunyimwa unyumba nikaanze kuwashughulikia. Na uwa nawaambia kabisa hawa small house kuwa nina mke na kuwawekea ratiba ya kupiga simu na sms ni mwiko nikiona anakiuka masharti napiga chini jumla natafuta mwenye disciplinehehehehe!principle yako nimeipenda sana!mi ninayo mojoa ipo hapa maeneo ya mabibo,dah!inasumbuaga sana akili angu.....
hivi imeshanitext kuwa lanchi tayari...
ngoja niwashe tukutuku nipite famasi kabisa nikabebe zana nijipindue uswazi maanake dah
LONG LIVE INFIDELITY!
sasa unategemea nikimbilie wapi nitakaponyimwa unyumba mwezi mzima? na kwa taarifa yako hakuna m/ume asiyekuwa na small house hata kama vp ujue kuna demu yuko pending anasubiri kukiwaka moto kwake anakuwa na kimbilio hakuna mwanaume anayekaa wiki 2 amenyimwa unyumba bila kutafuta alternative labda iwe kesi si ya ugomvi kama kujifungua n.k ila kama mmegombana halafu unambania 100% atapiga njeAtleast we unakujua kutekwa na kukumbuka kuimwaga! kwani ni lazima uwe nayo?
@Mom kumnyima unyumba ni suluhisho?? M ie bora tuyazungumze tu kama yanazungumzika ikishindikana na-seal moja kwa moja biashara inaisha.
uzuri ni kwamba hawa jamaa uwanyime usiwanyime, wakitaka kufanya nje wanafanya tu!!!
ai wishi mke wangu angekuwa na akili kama zako......NINGEHAMIA TABATA-MAWENZI kwa nyumba ndogo yangu mtoto SALIMA....DAH!
mke wangu nikipiga infidelity ye ndo anaongeza manjonjo kwenye chakula cha usiku!
Ni kweli kabisa SMU haileti maana ila ninavyojua mie ni kuwa huwa hatuwanyimi kama silaha bali ile hali yetu ya kutojisikia kukupa kwa kuwa feelings zangu hazipo huwa mnaichukulia kama tunawanyima kusudi.
hahahahah nicheke mie mtoto wa kimakonde hizi mambo za kparty