Swali kwa wote

  • Thread starter Thread starter JS
  • Start date Start date
SMU is this by mom?

Pole Mom..hata sijui kimetokea nini mpaka ikabadilika kutoka MJ1 na kuwa Mom. I hope you have not been offended by this!
 
hahahahahahahahah
DUDE HUMO HUMOOOOOOOOOOO!...........
leo naona twenty one umepiga raundi kadhaa
 
hahahahahahahahah
DUDE HUMO HUMOOOOOOOOOOO!...........
leo naona twenty one umepiga raundi kadhaa

Leo bench press babu...four 45lbs. plates on each side...and going for three clean reps....upo hapo babu? Nitafutie mtu bongo anayeweza kusukuma uzito kama huu kwa reps tatu safi.....
 

shem hapa umegongea msumari wa mwisho kwenye jeneza!!!!!!!!

starehe ni ya wote kumnyima mume ni kujikatili nafsi, kibaya zaidi mwenzio ataenda kwenye mapoozea yake fasta, sasa wewe mwenzangu na mimi je?

aaaah we will talk about it na maisha yaendelee!!!
 
Leo bench press babu...four 45lbs. plates on each side...and going for three clean reps....upo hapo babu? Nitafutie mtu bongo anayeweza kusukuma uzito kama huu kwa reps tatu safi.....
poa poa kaka!
ukija dar tuwasiliane kwasaabu nahitaji vifaa vya kawaida kwa matumizi ya nyumbani tu....
ujue kazi zimenielemea narudi usiku sana home tym ya gym nimekosa kabisa
 

You got it in-law...
Make up sex is the best sex.....(you didn't hear it from me):smile-big:
 
You got it in-law...
Make up sex is the best sex.....(you didn't hear it from me):smile-big:
hahaaaaa tatizo umeandika kwa penseli, wakti mwingine kwenye mambo kama haya tumia chaki kabisa!!!!

ooh yeah I did not..............
 

Nyamayao,

Unajua uwa na-mind sana post zako! Hasa hii. hapo underlined/red du!
 

Mkuu hapo umetumia kokoro. Usichukulie vitu kijumla jumla. Tupo tena wengi sana hatuna hizo nyumba ndogo!


Ni kweli da B ila katika issue kama hii wanaume walio wengi wanatumia ubabe badala ya kujishusha na kurekebisha matatizo. Sidhani kama wanaweke wengi wanafanya makusudi kufunga milango ina kuwa network zinakata mawasiliano na mitandao inakuwa kaputi.
 
aafu we dark city INAKUWAJE?
 
kaka DC kama ni suala la kukatika kwa network, sawa ila hata hapo lazima nimwambie mwenzangu nini kimekata network, ndo maana nasema tuyazungumze kama yanazungumzika then we make up na tuendelee na maisha yetu kama si vinginevyo
 
Nasema hivi mkibana mnatupatia vishawishi oops right za kutoka out aise Tafadhali msiiitumie hii kitu kama fimbo aisaidii NG'o!
 
Hata kwenye sehemu za kazi si lazima ugome 100% to register your grievancies...

You can decide to be on a go-slow... yaani upo kazini but hufanyi kama unavyotarajiwa...

So si lazima umnyime - waweza kumpa, then ukaendelea kujisomea gazeti... call it a win-win situation if you like...:hug:
 
Kubana hakuwezi kuwa njia ya kumaliza maudhi. Kikubwa ni kuyamaliza na kurudi ktk mstari
 

mmhmmh flexibility ya avatar yako imenipoteza na nimeshindwa kusoma post yako.........
 
labda ningeanzia kwako jeiesi na MAHUSIANO YAKO..............!
hii adhabu huwa unaitoa?????:drum:

Sijawahi kwa kweli ukiachilia vile vibreki vya hapa na pale na kusogeza muda mpate hamu tena


Teamo naenda kumwambia mama Teamo haiwezekani unapraise infidelity hivi aisee
@Mom kumnyima unyumba ni suluhisho?? M ie bora tuyazungumze tu kama yanazungumzika ikishindikana na-seal moja kwa moja biashara inaisha.

uzuri ni kwamba hawa jamaa uwanyime usiwanyime, wakitaka kufanya nje wanafanya tu!!!

BHT huo is uzuri ni ubaya kwa kweli lakini kweli wakiamua kufanya wanafanya hawajali


MJ1 thats scary to some of us who are not married bado kuna kubakana tena humo ndani


Funzadume unafanyaga hayo nini kaka yangu (kama wewe ni mwananume lakini)

Sredi hii ni nzuri kwelikweli, michngo mikubwa yapasa kutoka kwa nyie mlooa au kuolewa kwetu sisi waseja, we should'nt comment anything!

Genekai hapo umenena itatupa mafunzo kutoka kwa waliiooa/kuolewa


True BAK lazima atatoka nje


kwani mwanamke haruhusiwi kukosea kidogo? yeye si malaika. BA usikubali kupigwa au usimpige mkeo ni dhambi kubwa sana



and you said it all NN
 
Ila kwa kweli hii adhabu si sahihi kwani inasababisha matatizo mengine ambayo huenda yangeepukika..Kuna adhabu nyingi sana za kumpa mwandani wako lakini sio la kunyimana unyumba ingawa ningumu mno kwa kweli..
 
.........Kunyimana unyumba wala sio solution ya tatizo, na inakuwaje unalala na mume/mke wako chumba kimoja, kitanda kimoja kipindi cha miezi 7 au mwezi tu halafu usiwe na hamu na mwenzako kweli. Aisee mimi siwezi kabisa hii kitu.
 
.........Kunyimana unyumba wala sio solution ya tatizo, na inakuwaje unalala na mume/mke wako chumba kimoja, kitanda kimoja kipindi cha miezi 7 au mwezi tu halafu usiwe na hamu na mwenzako kweli. Aisee mimi siwezi kabisa hii kitu.

Pretty..wewe si umeolewa juzi tu..subiri kwanza usiharakishe kusema hivo hahahahah
 
Kuna nini humu ndani?
...Msinyimane,peaneni.............
Kunyimana sio suluhisho la matatizo bali zidisho la matatizo.Zipo nia nyingi za kutatua matatizo na sio kunyimana.
utatatua vipi tatizo kama la Clementina...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…