SWALI: Kwani wanaume wa Dar wana tofauti gani na wa mikoa mingine?

Nasikia vibao kila sehemu kuongeza nguvu za kiume na kunenepesha kumbe ni kweli?
 
Kwa tafsiri isiyo rasmi "wanaume wa dar" ni wale wote waishio dar (kwa muda mref haijalishi umezaliwa wapi) na kuwa na tabia au makuzi ya mjini tofauti na wanaume wa sehem nyingine hapa nchini.
Ikiwemo ...........(ningetaja ila naogopa kutukanwa)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…