SWALI: Kwani wanaume wa Dar wana tofauti gani na wa mikoa mingine?

Wanaume wa mikoani karibuni Dar muone wanaume wa wanavyoishi, hawachagui kazi, unamkuta mkaka yuko saloon anasuka yebo yebo, kichwa 20,000. Mpaka jioni amekusanya 200,000 au Zaidi ya hapo, anaingia kwenye usafiri wake anakwenda kupumzika kwake.
Nyinyi wanawake ndio mnachangia wimbi kubwa la mashoga huko dar wengi wa hao unaofurahia mnashindanao huko saluni ni mashoga na nyinyi mnaona sawa tu mfano huu
 
Mkuu hakuna mwanaume anaye weza kushindana na mahali alipo tokea....
Utakuja kufia kiunoni mwa mwanamke bure kwa kudhani kuwa una mkomoa au una shindana na Wanaume wa Dar....
 
Sasa unamtumia mtu hela service chaji mpaka alfu tano au kumi,sasa sibora achukue bodaboda au uber aje aifuate tu na tuweze kuonana
Ha! Haa! Haa! Madai yenu mwabana matumizi ya service charge!
 
Mkuu hakuna mwanaume anaye weza kushindana na mahali alipo tokea....
Utakuja kufia kiunoni mwa mwanamke bure kwa kudhani kuwa una mkomoa au una shindana na Wanaume wa Dar....
Mkuu my point is,wanaume wa dar dk mbili tu wazungu wanachoropoka
 
Acheni dharau zenu waleten wake zenu dar mfanye jaribio kama hatuna nguvu itafahamika
 
Ha! Haa! Haa! Madai yenu mwabana matumizi ya service charge!
Aheri kumfaidisha dereva bodaboda kuliko ma bepari wa mitandao ya simu.kwanza raha ya zawadi ama pesa shurti upewe mkononi,hayo mambo ya kurushiana tuwaachie wa mikoani
 
Aheri kumfaidisha dereva bodaboda kuliko ma bepari wa mitandao ya simu.kwanza raha ya zawadi ama pesa shurti upewe mkononi,hayo mambo ya kurushiana tuwaachie wa mikoani
Haa! Haa! Haa! Wanaume wa Dar buana,wana raha yake asikwambie mtu! Nielekeze kwako nije kuchukua za Pasaka [emoji12] [emoji12] [emoji12]
 
Haa! Haa! Haa! Wanaume wa Dar buana,wana raha yake asikwambie mtu! Nielekeze kwako nije kuchukua za Pasaka [emoji12] [emoji12] [emoji12]
Ayaah dah,Siko nchini kwa sasa,nikurudi nitakuPM mdada uje bombom kijiwe samli.au uniPM jinalako kamili nikutumie kwa Western Union
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…