SWALI: Kwani wanaume wa Dar wana tofauti gani na wa mikoa mingine?

Nafikiri kuna vitu vya kuviangalia...

1.Chakula wanachokula
2.Kazi wanazofanya
3.Jinsi wanavyorespond kwenye hali ya hatari eg. panyaroad wanapofunga mtaa..[emoji38][emoji38]
4.Ufanisi wao katika mambo yaletayo heshima kwenye jamii..

Haya mambo
Ahaa..sasa Nakuelewa !!!
 
Wanaume wa mikoani karibuni Dar muone wanaume wa wanavyoishi, hawachagui kazi, unamkuta mkaka yuko saloon anasuka yebo yebo, kichwa 20,000. Mpaka jioni amekusanya 200,000 au Zaidi ya hapo, anaingia kwenye usafiri wake anakwenda kupumzika kwake.
Wakati anakusuka mnakuwa mnapiga stori gani? Au stori za kuhusu mawigi mapya yaliyoingia Na mishono mipya ya kicheni pati
 
Wanaume wa dasaramu
 

Attachments

  • tapatalk_1487876507918.jpeg
    25 KB · Views: 34
Mnao comnent mngekuwa mnamalizia kujitambulisha nyie wa wapi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…