SWALI: Kwani wanaume wa Dar wana tofauti gani na wa mikoa mingine?

Daby.....wewe si mwanaume wa Dar? Njoo utoe povu huku kuna 'bushman' anawachokoza. [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
Mnataka kufua wanawake wa mikoani? Waume zenu hawana pesa za sabuni?
 
Nyinyi wanawake ndio mnachangia wimbi kubwa la mashoga huko dar wengi wa hao unaofurahia mnashindanao huko saluni ni mashoga na nyinyi mnaona sawa tu mfano huu
Mkuu huyo yeye kaangalia suala pesa tu na si maadili na sifa za mwanaume halisi.
 
hawa wanuka jasho bhana[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji13] [emoji13] [emoji13]
 
Wanaume wa Dar wana tabia zao za ajabu ambazo hazivumiliki kirahisi ila kwa suala la kitandani kwa kweli wanajitahidi sio kama mnavyowasema humu.
Na kingine wanaume wa Dar wako smart sana. Unaweza ukakutana na dalali kavaa utasema banker.
Na wanajitahidi sana kuhudumia jamani. Dar wanawake hatulali njaa kizembe zembe. Mwanaume akikutoa anajua unatakiwa hela ya usafiri. Kikubwa ninachowapendea wanajitahidi kutupa dada zenu wa mikoani pesa.
Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…