Swali: Kwanini jamii inatunyanyasa wanaume na kuwapendelea wanawake?

Ni kweli jamii yetu inawapendelea wanawake tena kwa spidi kali, hususani toka kuasisiwa kwa Beijing Conference, ila mkuu umeliwakilisha tofauti na nilivyotegemea.
 
Ni kweli jamii yetu inawapendelea wanawake tena kwa spidi kali, hususani toka kuasisiwa kwa Beijing Conference, ila mkuu umeliwakilisha tofauti na nilivyotegemea.
Mkuu ulitegemea iweje?
 
Huku mtaani tumezoea mwanamke akikuangalia angalia na jicho la kiwizi wizi anakutaka. Kwa hiyo ni wewe tu
Sipingani na wewe, ila kwa nini mwanaume akimwangalia KE hivyo anaonekana mpotokaji?

Kwa mfano hapa MMU kuna nyuzi kibao za kuwalaani wanaume wanaopiga chabo.
 
Sipingani na wewe, ila kwa nini mwanaume akimwangalia KE hivyo anaonekana mpotokaji?

Kwa mfano hapa MMU kuna nyuzi kibao za kuwalaani wanaume wanaopiga chabo.
Jicho la mwanaume likimuona mwanamke linasearch zaidi ya google[emoji3] [emoji3] [emoji23] [emoji23]
 
Jicho la mwanaume likimuona mwanamke linasearch zaidi ya google[emoji3] [emoji3] [emoji23] [emoji23]
Hahahaa ni kweli mkuu, mwanaume ana visual perception kubwa inayoendana na imagination kubwa pia.....ME akimuona mwanamke aliyevaa nguo ana uwezo wa kumpiga X-ray bila kukosea.
 
Hahahaa ni kweli mkuu, mwanaume ana visual perception kubwa inayoendana na imagination kubwa pia.....ME akimuona mwanamke aliyevaa nguo ana uwezo wa kumpiga X-ray bila kukosea.
[emoji3] [emoji3] [emoji23] [emoji23]
Sema ndo hivyo ME tunanyimwa haki. Ukipiga x'ray halafu ndani ukikuta hamna kitu dah inauma yani sawa na daktari kutumia x'ray kufanya upasuaji halafu hakufanikiwa
 
[emoji3] [emoji3] [emoji23] [emoji23]
Sema ndo hivyo ME tunanyimwa haki. Ukipiga x'ray halafu ndani ukikuta hamna kitu dah inauma yani sawa na daktari kutumia x'ray kufanya upasuaji halafu hakufanikiwa
Kumbe ogling ni haki kwa ME?😀😀😀😀😀
 
Wanawake wapo kwa ajili ya kusikilizwa na wanaume kwa ajili ya kutenda ufanisi na usikivu
 
Jamii yetu ya leo inawapendelea wanawake kwa mambo mengi sana na hili suala linahitaji kuwa addressed

CHARMILTON popote pale ulipo huu mjadala unahitaji kuendelezwa
 
Jikaze
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…