Swali kwenu ninyi mlio oa na wasio oa.

mbalu

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2012
Posts
550
Reaction score
242
Jana nikiwa ktk pitapita zangu nililazimika kuingia ktk mgahawa fulani ili nisumbiri jamaa yangu, ambapo nilikaa meza jirani na vijana waliokuwa wakijadiliana vitu mbalimbali, lakini ktk mada iliyonivutia ni hii, eti mwanaume alieoa huamshwa alfajiri na mkewe kwa kupapaswa, lakini bachala yeye huamshwa na mkojo. Nilishindwa kuendelea kusubiri mwisho wa michango yao kwani niliondoka baada ya mwenyeji kuja nichukua na kuhama eneo hilo, je kuna ukweli wowote hapo?
 
Du, hongereni kwa nyie mnaosubiri kuamshwa mpaka leo
 
Inategemea nimelala na nani kati ya wake zangu wawili na nyumba ndogo tatu. Kama nimelala peke yangu naamshwa na alarm ya simu. Ushanifaham?

Na hapa unazungumzia mkojo upi?

Mkojo mrefu au wa njano.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…