Swali kwenu wanawake

Swali kwenu wanawake

Mambo vip!

Nina swali kwenu wanawake mwanaume wako au mumeo akitaka kuoa mke wa pili yaani kuongeza mke wa pili na wewe ukiwepo hana nia ya kukuacha je utalipokeaje ilo jambo au utalitafsiri vipi?

Na je ni bora aoe mke wa pili uku amekupa taarifa au bora asikupe taarifa?
Kakwambia anataka kuongeza mwingine ndio maana unakuja kutafuta maoni hapa? Ongea nae ukishindwa ondoka. Shubamiti

Mwanaume hawezi kuwa na maswali ya kike kama haya.
 
Mie naogopa maana nina wivu mbaya sana aisee, nikisikia tu anamazoea na mdada mwingine roho huwa inataka kuniruka , Asa unaletewa kabisa mke mwenzio wa halali means ndo mshakuwa vyombo vya starehe

Mambo yao tuwaachie wenyewe kwakweli
Punguza kidogo wivu sasa wengine wataolewa na nani?
 
Kakwambia anataka kuongeza mwingine ndio maana unakuja kutafuta maoni hapa? Ongea nae ukishindwa ondoka. Shubamiti

Mwanaume hawezi kuwa na maswali ya kike kama haya.
Punguza makasiriko we umeangalia upande mmoja tu sio je kama mm ndio nataka kuongeza mke?

Punguza upumbavu kabla ujaongea tafakari na hili swali nimelenga kwa wanawake au wewe mwanamke?
 
Punguza kidogo wivu sasa wengine wataolewa na nani?
hUa najiuliza inamaana anaoa mke wa pili akijiskia tu au labda pengine mke wa kwanza akipatwa na changamoto labda ya uzazi, au ameugua mda mrefu ( namaanisha zile changamoto ambazo hazivumiliki )?
Haya mambo yanaogopesha sana aisee
 
hUa najiuliza inamaana anaoa mke wa pili akijiskia tu au labda pengine mke wa kwanza akipatwa na changamoto labda ya uzazi, au ameugua mda mrefu ( namaanisha zile changamoto ambazo hazivumiliki )?
Haya mambo yanaogopesha sana aisee
Mke hana shida yoyote ila kaona bora ongeze mke wa pili ili awe na watoto wengi kwa wakat mfupi
 
Back
Top Bottom