Leejay49
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 16,388
- 51,970
Hapana kwakweli, siviwezi vyote ( kuzaa hao watoto na ndoa yenyewe vyote siviwezi )Sasa utaweza kuzaa watto 12?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana kwakweli, siviwezi vyote ( kuzaa hao watoto na ndoa yenyewe vyote siviwezi )Sasa utaweza kuzaa watto 12?
Hujui hata kuandika. Kajifunze kuandika kwanza kenge mmoja.Punguza makasiriko we umeangalia upande mmoja tu sio je kama mm ndio nataka kuongeza mke?
Punguza upumbavu kabla ujaongea tafakari na hili swali nimelenga kwa wanawake au wewe mwanamke?
tutakuwahi kabla hujaturoga!Uchawi utatafutwa tu
Sema namshukuru Mungu siko huo upande na naomba nisijeingia huko mimi najiona sitaweza
Mwee....sii nyie m asemaga muhimu ahudumie leo mmebadilika tenaAoe mke wa pili kivipi yaani😂😂😂
Yaani kitendo tu cha kunishirikisha hiyo idea usiku alale kwa machale sana maana anaweza kuamka balls hazipo.
Wanawake wana hulka ya kulinda uzao wao uendelee. Hawapendi mwanamke mwingine kwa ajili ya hofu hiyo kuwa familia inaweza kupata upungufu wa mahitaji. Hata wakikubali n ni KWANI HAWANA NAMNA NYINGINE.Mambo vip!
Nina swali kwenu wanawake mwanaume wako au mumeo akitaka kuoa mke wa pili yaani kuongeza mke wa pili na wewe ukiwepo hana nia ya kukuacha je utalipokeaje ilo jambo au utalitafsiri vipi?
Na je ni bora aoe mke wa pili uku amekupa taarifa au bora asikupe taarifa?
Sasa mwezio si anakusaidiaHapana kwakweli, siviwezi vyote ( kuzaa hao watoto na ndoa yenyewe vyote siviwezi )
Huna kaz ya kufanya come with factHujui hata kuandika. Kajifunze kuandika kwanza kenge mmoja.
SureWanawake wana hulka ya kulinda uzao wao uendelee. Hawapendi mwanamke mwingine kwa ajili ya hofu hiyo kuwa familia inaweza kupata upungufu wa mahitaji. Hata wakikubali n ni KWANI HAWANA NAMNA NYINGINE.
Embu imagine kidogoNapita kimyakimya sababu sitaki hata kuimagine..!
Kaz ni kitu gani ?Huna kaz ya kufanya come with fact
Eti embu 😃😃😃Embu imagine kidogo
Picha yakeMabomu ya kuweka ndani ya mizinga🔥aka cannon
Daah, hatari sanaAoe mke wa pili kivipi yaani😂😂😂
Yaani kitendo tu cha kunishirikisha hiyo idea usiku alale kwa machale sana maana anaweza kuamka balls hazipo.
🤣🤣🤣Aoe mke wa pili kivipi yaani😂😂😂
Yaani kitendo tu cha kunishirikisha hiyo idea usiku alale kwa machale sana maana anaweza kuamka balls hazipo.
Kiwanda cha kuhifadhia watoto 😂😂😂balls ndio nini?
Aaah weee sitaki mtu aenjoy utamu wangu😂Mwee....sii nyie m asemaga muhimu ahudumie leo mmebadilika tena
Roho mbaya tuu...sharing is caringAaah weee sitaki mtu aenjoy utamu wangu😂
Kipo mtaa ganiKiwanda cha kuhifadhia watoto 😂😂😂
Ukiona mwanamke anakubali ukewenza basi tambua tu kuwa huyo mwanamke ni tegemezi kwa mumewe na hana uwezo wa ku move on kimaisha bila huyo mwanamme. So anakubali tu kishingo upande huku moyoni analia. Hakuna mwanamke anapenda ukewenza, ni sawa tu mwanamme kuwa na mke analiwa na mtu mwingine kwa zamu.Vitu vingine huwa nasema Ahsante Mungu nilizaliwa mkristo na nitakufa nikiwa mkristo
Ila kuna wanawake wana ujasiri sana aisee