Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
Kuna mwanamke kamvutia pia kwhy anaona bora aongeze muwe wawiliAoe mke wa pili kivipi yaani😂😂😂
Yaani kitendo tu cha kunishirikisha hiyo idea usiku alale kwa machale sana maana anaweza kuamka balls hazipo.
Kwanini embu fungukaVitu vingine huwa nasema Ahsante Mungu nilizaliwa mkristo na nitakufa nikiwa mkristo
Ila kuna wanawake wana ujasiri sana aisee
balls ndio nini?Aoe mke wa pili kivipi yaani😂😂😂
Yaani kitendo tu cha kunishirikisha hiyo idea usiku alale kwa machale sana maana anaweza kuamka balls hazipo.
Mie naogopa maana nina wivu mbaya sana aisee, nikisikia tu anamazoea na mdada mwingine roho huwa inataka kuniruka , Asa unaletewa kabisa mke mwenzio wa halali means ndo mshakuwa vyombo vya stareheKwanini embu funguka
Kakwambia anataka kuongeza mwingine ndio maana unakuja kutafuta maoni hapa? Ongea nae ukishindwa ondoka. ShubamitiMambo vip!
Nina swali kwenu wanawake mwanaume wako au mumeo akitaka kuoa mke wa pili yaani kuongeza mke wa pili na wewe ukiwepo hana nia ya kukuacha je utalipokeaje ilo jambo au utalitafsiri vipi?
Na je ni bora aoe mke wa pili uku amekupa taarifa au bora asikupe taarifa?
Punguza kidogo wivu sasa wengine wataolewa na nani?Mie naogopa maana nina wivu mbaya sana aisee, nikisikia tu anamazoea na mdada mwingine roho huwa inataka kuniruka , Asa unaletewa kabisa mke mwenzio wa halali means ndo mshakuwa vyombo vya starehe
Mambo yao tuwaachie wenyewe kwakweli
Punguza makasiriko we umeangalia upande mmoja tu sio je kama mm ndio nataka kuongeza mke?Kakwambia anataka kuongeza mwingine ndio maana unakuja kutafuta maoni hapa? Ongea nae ukishindwa ondoka. Shubamiti
Mwanaume hawezi kuwa na maswali ya kike kama haya.
hUa najiuliza inamaana anaoa mke wa pili akijiskia tu au labda pengine mke wa kwanza akipatwa na changamoto labda ya uzazi, au ameugua mda mrefu ( namaanisha zile changamoto ambazo hazivumiliki )?Punguza kidogo wivu sasa wengine wataolewa na nani?
lee usirukeruke jibu swali hii haiangalii ukristo sawa acha janjajanja..Vitu vingine huwa nasema Ahsante Mungu nilizaliwa mkristo na nitakufa nikiwa mkristo
Ila kuna wanawake wana ujasiri sana aisee
Mimi nitawaroga wote😥lee usirukeruke jibu swali hii haiangalii ukristo sawa acha janjajanja..
haya ndo nimekuwowa nataka niongeze mke wa pili utanifanya nini..??
Mke hana shida yoyote ila kaona bora ongeze mke wa pili ili awe na watoto wengi kwa wakat mfupihUa najiuliza inamaana anaoa mke wa pili akijiskia tu au labda pengine mke wa kwanza akipatwa na changamoto labda ya uzazi, au ameugua mda mrefu ( namaanisha zile changamoto ambazo hazivumiliki )?
Haya mambo yanaogopesha sana aisee
Mmnh nyieMke hana shida yoyote ila kaona bora ongeze mke wa pili ili awe na watoto wengi kwa wakat mfupi
kumbe we ni mchawiMimi nitawaroga wote😥
Sasa utaweza kuzaa watto 12?Mmnh nyie
Mabomu ya kuweka ndani ya mizinga🔥aka cannonballs ndio nini?
Uchawi utatafutwa tukumbe we ni mchawi